Recent content by syge06

  1. syge06

    Sina hamu na mume wangu

    Ni maajabu!! Anafanya mapenzi ofisini wakati mlango hauna usalama??!! Kweli hilo ni "gube gube"!!
  2. syge06

    Abiria ajichinja ndani ya bus likitokea Lindi (TAHADHARI picha zinatisha)

    :nono: sio mwenyewe, kuna nguvu ya giza imemsukuma hapo!!
  3. syge06

    Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

    Afadhali ungelisema ni dawa ya kula! Unataka kuwadhuru wanaume wenzio??!! Huwezi paka pilipili ktk uume, we muuaji mkubwa!!
  4. syge06

    CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa nguvu

    Ukisikia shahada ya juu ya udhamili katika UNAFIKI ndiyo hiyo wapemdwa!
  5. syge06

    Kilio Chetu Kwa Wana Tunduru; Wabunge Wetu hakuna wanachotufanyia cha maana

    Sawa, kama mwenyewe ulivyoanza kwa kubainisha kuwa wewe c mwanasiasa, ndugu maisha ya bnadam yanategemea mifumo ya siasa. Na ndo maana inasemwa maisha ni siasa, wakati wa chaguzi ni kipindi muhim cha kujiwekea dira ya maisha na maendeleo ye2 kwa ujumla. Lakin utakuta wengine wanasusia kupiga...
  6. syge06

    CCM kwa hili wanachama wa CCM hamjawatendea HAKI.

    Ndugu hiyo ni point! Mimi ninaposoma malumbano FB nakuta m2 ajui lolote anaitetea ccm kwa nguvu zake zoote, maskini ya Mungu, mpaka natamani kutoa machozi mimi!
  7. syge06

    Nape na kundi lake kumtoa KAFARA Lowassa,CHADEMA tusikubali kunasa ktk Mtego huu!!

    Ahsante saaaaana! Ni mawazo yako ndio, na ndio UKWELI MTUPU, ndugu!
  8. syge06

    Mwenyekiti wa CHADEMA, wabunge Lissu, Msigwa, Sugu, Silinde washikiliwa polisi Iringa!

    Ni BREAKING NEWS hiyo ITV & Radio One.
  9. syge06

    Dr Slaa kuunguruma Ifakara kesho tarehe 20/08/2013

    Tatizo ufahamu wenu ni mdogo juu ya mpango mzima wa maoni ya Katiba. Kuna awamu tofautitofauti katika uundwaji wa katiba; hatua yakwanza ilikuwa ni ukusanyaji wa maoni toka kwa wananchi kupitia tume, pili mabaraza ya katiba, kisha taasisi mbalimbali na vyama vya siasa. Sasa CHADEMA kama...
  10. syge06

    Dr Slaa kuunguruma Ifakara kesho tarehe 20/08/2013

    Tatizo ufahamu wenu ni mdogo juu ya mpango mzima wa maoni ya Katiba. Kuna awamu tofautitofauti katika uundwaji wa katiba; hatua yakwanza ilikuwa ni ukusanyaji wa maoni toka kwa wananchi kupitia tume, pili mabaraza ya katiba, kisha taasisi mbalimbali na vyama vya siasa. Sasa CHADEMA kama chama...
  11. syge06

    Tweet ya CCM yenye Kingereza Kibovu iliyogeuka Kichekesho Kenya!

    Mungu huyo! Anatupatia ishara ya wazi kwamba hawa majamaa ni watu wa kulazimisha mambo pasipo uhalali wowote.
  12. syge06

    Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

    Kiukweli Watanzania tunaweza kufanya maajabu katika maendeleo. Cha ajabu inakuwaje tuweze kuendeleza nchi za wenzetu tu!!?? Nadhani jibu laweza kuwa serikali yetu ndo potofu, akitokea mtu wa aina ya Prof. kama huyu, basi hapati suport na serikali, zaidi atafanyiwa majungu ili kumkatisha tamaa na...
Back
Top Bottom