Recent content by swrc

  1. S

    WAITARA AKOLEZA MIGOGORO na kuvuruga CHADEMA TARIME, nani kakutuma kwa haya? CCM au?

    kama ndivyo, basi kazi imeanza, na Je tutafika?
  2. S

    CHADEMA hakitapokea wanachama wapya wa vyama vingine

    hakuna ukweli kwa hili kwa jinsi ulivyoandika. wanachama wapya ni LAZIMA ila inategemea ni wanachama wa aina gani
  3. S

    Mh. Mbowe kuhutubia mkutano mkubwa leo Mbeya

    safi sana na isiwe mijini tu
  4. S

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    mara nyingi najiuliza na nadhani nakufuru kwamba ni kwa nini nimezaliwa tz. hivi sasa nchi haina mwenyewe, kila kitu songombingo na kila siku ikipita aheri ya jana---- hivi kwanini?
  5. S

    Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

    sidhani kama nitishio kwa hivi vyama
  6. S

    Mkono mwingine wa Mwigulu Nchemba ndani ya CHADEMA huu hapa!

    chama cha magamba, mafisadi, majizi, maongo,nk
  7. S

    Ninakwenda mafunzo ya JKT...

    hayo sio mafunzo ya kijeshi nadhani wanakwenda warsha au semina. mafunzo gani ya kijeshi ya wiki tatu?
  8. S

    Wabunge wote someni hapa

    huo ni mradi mkubwa na lazima uwe na uelekeo wa kibiashara
  9. S

    Salma Kikwete Cheo chake ni kipi kikatiba?

    katika awamu zote za urais huyu mama anatia fora na kule lindi mjini Burhani hana chake 2015
  10. S

    KUFUNGIWA REDIO IMAAN NA NYINGINEZO: haki haijatendwa!

    redio za namna hiyo zifungiwe maisha, sioni sababu ya kufungiwa kwa muda
  11. S

    Baada ya FBI kutua nchini, sasa Redio Imani wakimbia kivuli chao, wahubiri amani

    mleta mada amesema ukweli. Ni nani asiyejua yaliyokuwa yanatangazwa na hiyo redio? Tuache ushabiki usiokuwa na maana bw.
  12. S

    Updates; Kamanda Mawazo aipotezea mwelekeo CCM

    hivi huyu mawazo kumbe ni kifaa! Ole milya naye mbona hasikiki?
  13. S

    Picha: Aibu jimboni kwa Ole Medeye

    nchi hii inahitaji ukombozi wa kweli
Back
Top Bottom