Unaweza ukasema ukweli lakini inategemea huo ukweli wako unauwasilisha vp kwawahanga kama hawa wabukoba, je, unawafariji au unawasononesha zaidi, wanasema msiba umkute mwenzio nasio wewe.
Ndio sababu yagazeti lajitmbue kutotoka tena mpaka leo alikufa muda sana nilikuwa namwelewa sana huyu bwana hasa kwenye kioengele chake ktk gazeti lajitambue kinaitw JINSI NILIVYOFEDHEHEKA, R.I.P Munga Tehenani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.