Hizo za 4000 lazima uzichoke haraka. Kamata first class,kama unataka kwa bei ya chini hizo nguo moja inaanzia 20 ila uwepo sehemu wanafungulia. Hizo ukizifuata dukani 40,35,mpaka 50
Miccm kweli yote hamnazo. Huyo ndio anatamani kuwa rais huyo?. Kuwataja tu mbele ya rais tayari ni ufahari na kuwa ni deni la yeye kuja kulipwa?. Ni kwa Tz tu haya
Nitahama nchi kabisa. Simkubali hata kidogo huyu mwizi. Sijui alipewaje hata hiyo wizara nyeti hiyo. Ameingia tu na kuanza kuiba moja kwa moja. Bahati ni mshamba,anazuzuka na pesa moja kwa moja anaanza kujionyesha wazi.
Kwa nchi zilizopiga hatua anaweza kuchezea jera vizuri
Vizuri sana. Hongera kwa kazi nzuri.
2. Uunda mfumo wa mfano nyumba ina wapangaji 5. Katika hao wapangaji kila mmoja anakuwa na mita yake ndogo. Hizo mita ndogo za wapangaji zote zina-repot kwenye mita kubwa ya Tanesco. Mfano mpangaji A au B awe na uwezo wa kuingiza umeme wake moja kwa moja...
Nilishawahi kuwaambia washikaji mimi ningekuwa kocha ni mwiko kurudisha mpira nyuma. Pambana uende mbele. Ndio maana timu siku hizi zinashinda kagoli kamoja tu ksbb ya huo mfumo. Ni kama wanaogopa hivi. Utafikiri bondia Mayweather,anakimbia kimbia tu ulingoni,anadokoa kangumi kamoja. Anategea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.