Recent content by Swet-R

  1. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Nchi ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Vijana hasa mlioko kwenye nafasi huko juu,nawaambia ukipata nafasi hata moja tu,piga bao la Sere Mwalimu. Hakuna kipindi kingine cha kujichotea zaidi ya hiki. Hukamatwi,utazomewa tu basi imeisha
  2. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Utekaji na "Majeshi" Binafsi Vikitikisa Nchi: Kwanini Waziri Katambi na Boss Wake Wanaona Dudubaya na Uchafu wa Dar Ndio Kero Kubwa?

    Hongera sana kwa wasirisho zuri. NATAMANI HILI ANDIKO LIWAFIKIE WOTE HUKO JUU.
  3. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Clatous Chama: Nilijutia sana kuondoka Simba, siku niliyosaini mkataba Yanga haikuwa siku nzuri kwangu

    Muongo tu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Mtu mzima kama yule atalamishwaje?. Uchukue pesa na vitu vyote halafu useme unarudisha vyote sijui what what. Kwani walimshikia bunduki kuchukua na kusain?. Bora angekaa kimya
  4. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni miongoni mwa viongozi mashujaa na madhubuti sana barani Afrika

    Daah...! Naumia sana. Any way
  5. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Bora wakuue hapo hapo. Kuliko nipo hapo halafu nabaki naumia nikimuona binadamu mwenzengu ananyang'anywa kama kifaranga cha kuku dhidi ya mwewe. Unafikiri picha kama hilo linaweza kutokea kenya?
  6. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Ndivyo tulivyozoeshwa. Wewe unafikiri kwa nini wamuibe tu?. Kama wameweza kumfikia alipo kwa nini wasifuate utaratibu kwenda kwa barozi anapoishi then wamchukue barozi na ndugu zake wakiwa wamejua ni nani wamemchukua
  7. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Jamani mbona hii nchi inatisha? Hakuna alie salama. Ninachoshangaa watu waliozunguka hapo wako kimya tu. Kweli sisi Watanzania ni manyumbu. Tutakwisha. Sio siri roho imeniuma sana. Nimejisikia vibaya mnooo
  8. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Katuga anatoa shule ya sheria

    Milembe iko dom wakuu?
  9. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Nivumilieni wana JF leo nimeamka vibaya, nilikuwa natafuta attention tu 😊

    Milembe iko dom wakuu?
  10. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Umeongea ujinga. Kila mtu atalipwa kwa anachokifanya. Yeye analilia juu ya k ya huyo binti anamgeuza anavyotaka alitegemea yatatokea mahindi?. Pili huyo binti amchukue aishi nae tu. Kwa familia zetu nyingi kuoa hakuna kujipanga. Utajipanga ukiwa ndani na mkeo. NA ANA BAHATI TAYARI ANA KAZI YA...
  11. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Mnyika amedhihirisha kwamba uprofesa wa Tanzania ni takataka

    Kwenye katiba mpya hawa akina katuga wakimweka mtu ndani halafu akashinda kesi,kiwepo kipengele cha wamlipe fidia huyo mtu kwa siku zote alizokaa jera. Pili katuga akasote jera nae kwa siku alizokaa waliemuonea
  12. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Mamlaka za Tanzania, zamkamata Mkosoaji wa DRC, Denise Mukendi Dusauchoy

    Huyo tumbili
  13. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Nimewaza hivyo pia.
  14. Swet-R

    JamiiForums Tanzania Mnyika amejibu vizuri sana

    CHADEMA kumejaa vichwa sana. Nani alimjua Heche? Nakuambia huyu mwamba ni kichwa sana. Achana na msimamo wake kwanza. Ingia kwenye uwasilishwaji wake wa hoja. Kuna mtangazaji mmoja chawa uchwara mwenye ngozi. Juzi juzi hapo kwenye mahojiano anajifanya kumprovoko Heche kwa maneno ya kejeri...
Back
Top Bottom