Nchi ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Vijana hasa mlioko kwenye nafasi huko juu,nawaambia ukipata nafasi hata moja tu,piga bao la Sere Mwalimu. Hakuna kipindi kingine cha kujichotea zaidi ya hiki. Hukamatwi,utazomewa tu basi imeisha
Muongo tu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Mtu mzima kama yule atalamishwaje?. Uchukue pesa na vitu vyote halafu useme unarudisha vyote sijui what what. Kwani walimshikia bunduki kuchukua na kusain?. Bora angekaa kimya
Bora wakuue hapo hapo. Kuliko nipo hapo halafu nabaki naumia nikimuona binadamu mwenzengu ananyang'anywa kama kifaranga cha kuku dhidi ya mwewe.
Unafikiri picha kama hilo linaweza kutokea kenya?
Ndivyo tulivyozoeshwa.
Wewe unafikiri kwa nini wamuibe tu?. Kama wameweza kumfikia alipo kwa nini wasifuate utaratibu kwenda kwa barozi anapoishi then wamchukue barozi na ndugu zake wakiwa wamejua ni nani wamemchukua
Jamani mbona hii nchi inatisha? Hakuna alie salama.
Ninachoshangaa watu waliozunguka hapo wako kimya tu. Kweli sisi Watanzania ni manyumbu. Tutakwisha. Sio siri roho imeniuma sana. Nimejisikia vibaya mnooo
Umeongea ujinga. Kila mtu atalipwa kwa anachokifanya. Yeye analilia juu ya k ya huyo binti anamgeuza anavyotaka alitegemea yatatokea mahindi?.
Pili huyo binti amchukue aishi nae tu. Kwa familia zetu nyingi kuoa hakuna kujipanga. Utajipanga ukiwa ndani na mkeo.
NA ANA BAHATI TAYARI ANA KAZI YA...
Kwenye katiba mpya hawa akina katuga wakimweka mtu ndani halafu akashinda kesi,kiwepo kipengele cha wamlipe fidia huyo mtu kwa siku zote alizokaa jera. Pili katuga akasote jera nae kwa siku alizokaa waliemuonea
CHADEMA kumejaa vichwa sana.
Nani alimjua Heche? Nakuambia huyu mwamba ni kichwa sana. Achana na msimamo wake kwanza. Ingia kwenye uwasilishwaji wake wa hoja.
Kuna mtangazaji mmoja chawa uchwara mwenye ngozi. Juzi juzi hapo kwenye mahojiano anajifanya kumprovoko Heche kwa maneno ya kejeri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.