Recent content by Swet-R

  1. Swet-R

    Napenda kuvaa

    Hizo za 4000 lazima uzichoke haraka. Kamata first class,kama unataka kwa bei ya chini hizo nguo moja inaanzia 20 ila uwepo sehemu wanafungulia. Hizo ukizifuata dukani 40,35,mpaka 50
  2. Swet-R

    Je, Makamba umetangaza nia kupitia CC Geita?

    Duuh...! Yaani makamba awe rais daah...! Ni sawa kwa hii nchi hakuna lisilowezekana
  3. Swet-R

    Je, Makamba umetangaza nia kupitia CC Geita?

    Miccm kweli yote hamnazo. Huyo ndio anatamani kuwa rais huyo?. Kuwataja tu mbele ya rais tayari ni ufahari na kuwa ni deni la yeye kuja kulipwa?. Ni kwa Tz tu haya
  4. Swet-R

    Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    Tulia kachemka wapi tena. Ccm nao mambo yao
  5. Swet-R

    Kama ni kweli Masanja, huu ndiyo mtihani mkubwa unahitaji kuushinda

    Siku hizi bongo kila kitu ni connection. Hii habari imekaa kimchongo mchongo
  6. Swet-R

    Kama ni kweli Masanja, huu ndiyo mtihani mkubwa unahitaji kuushinda

    Hivi kwani ilikuwaje?. Na kwa nini ajiue?
  7. Swet-R

    Kama ni kweli Masanja, huu ndiyo mtihani mkubwa unahitaji kuushinda

    Unahisi inakuwaje Mamndenyi ?. Kwamba Masanja hawezi kuvumilia akabaki na mkewe?
  8. Swet-R

    Mwigulu Akiendelea kuwa waziri Basi ndie Rais ajae tutake tusitake. Atakuwa na timu Bora na zaidi ya Tillion 2 kibindoni

    Nitahama nchi kabisa. Simkubali hata kidogo huyu mwizi. Sijui alipewaje hata hiyo wizara nyeti hiyo. Ameingia tu na kuanza kuiba moja kwa moja. Bahati ni mshamba,anazuzuka na pesa moja kwa moja anaanza kujionyesha wazi. Kwa nchi zilizopiga hatua anaweza kuchezea jera vizuri
  9. Swet-R

    Kamikaze drones zahatarisha jeshi la Ukraine

    Wote maustaadhi. Wengi wako upande wa yule mwamba wa kuwatuma kujitoa mhanga,alieuliwa na USA
  10. Swet-R

    Kamikaze drones zahatarisha jeshi la Ukraine

    Kwa lazima awe awe kiupande upande.[emoji1787][emoji1787]
  11. Swet-R

    Kamikaze drones zahatarisha jeshi la Ukraine

    Huyu dogo vibuti vingi,kwa anachoongea unajiongeza mwenyewe
  12. Swet-R

    Kamikaze drones zahatarisha jeshi la Ukraine

    Kwa hiyo ushabiwe wewe tu unachoongea,ndio akili zinakuwa zimefanya kazi?
  13. Swet-R

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Vizuri sana. Hongera kwa kazi nzuri. 2. Uunda mfumo wa mfano nyumba ina wapangaji 5. Katika hao wapangaji kila mmoja anakuwa na mita yake ndogo. Hizo mita ndogo za wapangaji zote zina-repot kwenye mita kubwa ya Tanesco. Mfano mpangaji A au B awe na uwezo wa kuingiza umeme wake moja kwa moja...
  14. Swet-R

    Daima usimdharau usiyemjua, mwenzenu leo nimekutwa na jambo

    Hao wachimbaji wa dhahabu. Hapo wamepiga hela sasa
  15. Swet-R

    Live Taifa Stars Vs Uganda CHAN

    Nilishawahi kuwaambia washikaji mimi ningekuwa kocha ni mwiko kurudisha mpira nyuma. Pambana uende mbele. Ndio maana timu siku hizi zinashinda kagoli kamoja tu ksbb ya huo mfumo. Ni kama wanaogopa hivi. Utafikiri bondia Mayweather,anakimbia kimbia tu ulingoni,anadokoa kangumi kamoja. Anategea...
Back
Top Bottom