Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,145
- 3,765
hii taarifa yako bila source hata ya TBC ni sawa na pumba kama pumba zingine.
Kwa hiyo ushabiwe wewe tu unachoongea,ndio akili zinakuwa zimefanya kazi?Acha ushabiki Bru! Akili zifanye kazi yake ipasavyo sio kila kitu mnabeza.. Hizo drone ni sio za kubeza ni moja ya drone nzuri sana.. Msijitoe akili kisa ushabiki
Huyu dogo vibuti vingi,kwa anachoongea unajiongeza mwenyeweKamikaze ni jina la kijapan iwene tena ziitwe za Iran. Emu mleta post tupe maelezo kidogo.
Nimesema tuache ushabiki kwenye kila kitu hata kama tunaona nyeupe sio lazima tuseme nyeusi, mbona tunasifia Himars katika utendaji wake haijalishi hata kama mie ni supporter wa RussiaKwa hiyo ushabiwe wewe tu unachoongea,ndio akili zinakuwa zimefanya kazi?
Wote maustaadhi. Wengi wako upande wa yule mwamba wa kuwatuma kujitoa mhanga,alieuliwa na USAUstaand sijui wamarekani wamemfanya nini, anawachukia balaa.
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
KAMIKAZE ni za Kijapan na zilitumika kishambulia Pearl Harbour mwaka 1944 nafikiri. So sio za Iran.Hiv kamikaze ni za us au iran
Ndiyo hiyo mkuu na kama siyo yenyewe ungeleta picha husika so, kwa sasa acha iwe hiyo mkuu!.Hii sio kamikaze
Sawa ustadhiNdiyo hiyo mkuu na kama siyo yenyewe ungeleta picha husika so, kwa sasa acha iwe hiyo mkuu!.
Ww utakuwa ndio mmoja wapo wale watoto waliolatiwa na mapadri maana tabia Yako sio ya kiume kabisa Sasa hilo jina ustadh na mada inayoongelewa vina uhusiano ganiJina tu ustaadh![]()
Hizbollah 2006 alimpiga Israel kwa msaada wa Iran.. unasema nini weweHapo ndio Israel anaenda kumaliza kazi. Usie mpenda kaja. Yani hiso drom Israel anazituuta hatari kwahiyo keep cool utashangaa hizo dron zitaanguka kama mvua
Sasa kaka Russia yakununua silaha Kwa Iran kweli?View attachment 2361444KAMIKAZE DRONES ZAHATARISHA JESHI LA UKRAINE.
Drones za Iran ambazo ziliipa russia zinahatarisha maisha ya wanajeshi wa Ukraine. Drones hizo ni hatari katika mashambulizi. Ni mara ya kwanza kutumika drones kutoka nchi nyingine hasa Iran, makamanda wa jeshi la Ukraine wasema.
Drones za Iran zilizopakwa rangi ya russia, zilianza kutumika wiki iliyopita kaskazini-mashariki mwaka mkoa wa Kharkiv
Drones za Iran zinaenda kwa kasi huwa zinashambulia eneo husika bila kukosea alisikika akisema kamanda wa kikosi cha mizinga cha Ukraine Kanali Kilion Kulagin.
Hiz hapa mkuuAcha ushabiki Bru! Akili zifanye kazi yake ipasavyo sio kila kitu mnabeza.. Hizo drone ni sio za kubeza ni moja ya drone nzuri sana.. Msijitoe akili kisa ushabiki
Hizo hapo picha baada ya kamikaze kufanya yake.Ungeweka na picha kidogo
Unaongea Kama umekalia kituHIZO DRONES ZINA TOFAUTI GANI NA BUS ZA NAJMUNISA?
ni drones za kizamani Sana
Kuna tatizo gani kununua silaha toka Iran.Sasa kaka Russia yakununua silaha Kwa Iran kweli?View attachment 2361444View attachment 2361445