Recent content by sweetkid

  1. S

    Nimebambikiwa mimba, Mwanamke hataki nimuone mtoto

    Sijakusoma bro umebambikwa kiaje
  2. S

    X boyfriend wangu ndio best friend wangu

    Kuwait muaminifu kwa baby wako akijua ujue na kuachwa
  3. S

    Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia

    She's cute 4 real sifa yake mpeni jamani
  4. S

    Akina dada piteni hapa hii inawahusu

    Mwanaume wa ukweli lazma ajue majukumu yake vinginevyo wanaojua dhamani ya mwanamke wanakubebea unabaki kulia na mto kitandani
  5. S

    Mbinu za kumfanya mume awe mtulivu(asipagawe na vicheche)

    Wanaume hawana jema hata uwasifie sana sana unandio unamtuma akafanye ujinga wake coz anajiona ndio handsome kupitiliza
  6. S

    Ma-handsome hawana lolote kitandani

    True love never look wallet or handsome face
  7. S

    Mke wangu ananilaumu kwa nini nalipa kisasi

    We jamaa sio coz utakiwa udil na mkeo kama kweli unampenda unaonyesha zairi we ni Mzee wa michepuko
  8. S

    Jamani nisaidieni

    My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati...
  9. S

    Naomba mnipokee me mgeni kwenye jf

    I love u guys
  10. S

    Uonapo hivi jua hupendwi tena

    Wallet siyo issue inamaana mapenzi bila pesa hakuna mapenzi, z it?
Back
Top Bottom