Recent content by Sweetbert Nkuba

  1. S

    Picha za maafa ya mvua Kahama

    Aksante mdau kwa uzi huu na picha za baadhi ya matukio. ..kwa waliobahatika kufika na kujionea tufani hii haina tofauti na matukio ya kutisha yaliyowahi kuandikwa kama simulizi kwenye vitabu vya dini. ..kuna familia imepoteza watoto wote, kuna familia nzima imeangamia (wazazi na watoto wote)...
  2. S

    What is Africa? (A poem by the then High School Kid)

    Thank you for the observation
  3. S

    Nape nauye asema UKAWA wasirudi bungeni

    Hivi bado kuna waTanzania wanaamini katiba mpya itapatikana katika mchakato huu unaoendelea? Labda mimi nimepitwa na wakati au niko nje ya uzio wa historia, lakini kwa set up ya Bunge la Katiba na mswaada wa katiba ulivyo. Hakuna Katiba mpya bali kuna jaribio la kupata katiba mpya tu. Maana...
  4. S

    What is Africa? (A poem by the then High School Kid)

    (Your contributions matters) WHAT IS AFRICA? What is Africa, A stranded housefly In rain season, a dark tomb, hell Blackman’s leprosy, a Whiteman’s giggle? What Africa really mean? The ancient mother of life, that denied life? The husband that stolen wife? The king, that turned a slave...
  5. S

    Waziri aibiwa akiwa gesti

    Tusubiri utetezi
Back
Top Bottom