notmar
Member
- Jun 4, 2011
- 81
- 1
mwenyezi mungu ni mkali wa kuadhibu.acheni kuua albino mtasamehewa otherwise msubiri maafa makubwa zaidi.
Mungu yupi, huyuhuyu aliyewashushia mawe kisha awafariji? hii ngumu kumeza.
mwenyezi mungu ni mkali wa kuadhibu.acheni kuua albino mtasamehewa otherwise msubiri maafa makubwa zaidi.
Duuh aiseee, mvuagani hii jiwe kubwa namna ile? Kweli tusali kila wakatijamani Mungu anauwezo wa ajabu, R.I.P marehemu wote.
dah!! kilo 50? kweli hiyo mvua ilikuwa si mchezo.
mwenyezi mungu ni mkali wa kuadhibu.acheni kuua albino mtasamehewa otherwise msubiri maafa makubwa zaidi.
Mungu awarehemu wote waliofariki....nilikuwa nasikia tu kuna mvua ya mawe nikawa nabisha but kwa picha hizi nimeamini,dah hatari sana hii!
mwenyezi mungu ni mkali wa kuadhibu.acheni kuua albino mtasamehewa otherwise msubiri maafa makubwa zaidi.
hizi ni baadhi za picha wadau
Kawaida mawe ya barafu yanayeyuka mara tu baada ya mvua au hata kabla, lakini haya yapo huku jua linawaka! Lakini ukubwa wa mawe yaliyoanguka...moja kg 50! Itabidi either geographers watusaidie au wanaoona mambo kwa mtazamo wa kiroho watusaidie kujua nini kimetokea na kwa ninisi vizuri kuombea watu mabaya kwa kuwa kuna wengine hawahusiki.
KUWA:HICHO KIJIJI KILICHOPATA MAAFA YA MAFURIKO NI WATU WASHIRIKINA WAKUBWA NA WANGA WAKUBWA.
hizo habari za uhakika kuna mtu ametokea jirani na kijiji hicho ndio alivyotoririka