Sasa tunawahesabu hao, sasa tunawahesabu hao
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana hesabu, waliokufa kwa tabu duniani...
Ni kiongozi wa kongo huyo,*3 walimpiga vigongo, wakamvunja mgongo, wakamtoa ubongo na huo sio uongo ni ukweli tu.
Kambona aliagiza hayo*3, pindueni mkiweza ...