Habari zenu wakuu.
Bila kupoteza muda niende kwenye mada husika, naomba member yoyote mwenye ufahamu na biashara ya mazao (genge)anipe uzoefu wake wa biashara hii, faida zake na hasara zake. Mtaji wangu ni laki tano tu.
Nakaribisha maoni mbalimbali.
Karibuni wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.