Ndugu yangu mzee wangu Salim Bakresa nakuomba na uzingatie kuwa Azam Tv watu wengi wanaangalia sasa kama mtu bando lake limeiisha kuna channel zina julikana ambazo zipo free kama cloud itv ch ten TBC na EATV zilizobaki zotee unazikata kama huna bando, sasa nakuomba kama mtu kaishiwa bando ungekuwa unaawaachia channel za dini waone bure.
Maana wakiona chanel za dini wapo watakao ongoka wakawa wema na wewe mzee bakhresa mungu anakulipa kwa kila mtu atakae angalia channel za dini sio tu kutuachia clouds na nyinginezo masaa yote tunaangalia bongo fleva na wasichana kucheza uchi .
Waachie na wenye imani zao wawe wanapata mafundisho bure bila kulipia ili na wewe upate baraka za mungu.
Maana wakiona chanel za dini wapo watakao ongoka wakawa wema na wewe mzee bakhresa mungu anakulipa kwa kila mtu atakae angalia channel za dini sio tu kutuachia clouds na nyinginezo masaa yote tunaangalia bongo fleva na wasichana kucheza uchi .
Waachie na wenye imani zao wawe wanapata mafundisho bure bila kulipia ili na wewe upate baraka za mungu.