Nadhani alichofanya Dr Mwakyembe ni kuwafukuza hao wafanyakazi kutoka uwanja wa ndege, na si kuwafukuza kazi uamuzi wake ni kuwaondoa na kuwarudisha katika wizara zao na huko wachukuliwe hatua za nidhamu kwa mujibu wa sheria.
Kwa nature ya dada zetu huvutiwa na vitu vingi mara nyingine ni ngumu kuvigundua katika eary stages kadri siku zinavyasonga wajikuta unapungua katika mizani ndipo hapo uongo huanza kwa nia tofauti, uongo katika mapenzi upo na mara kadhaa hujenga.
Pole sana kwa yaliyoyo kukuta ni ngumu mtu mwingine kufeel kama ww kwa sasa , tafadhari kabla hujafanya uamuzi mgumu kiasi hicho jaribu kwenda vacation kwa muda take your tym fikiria vizuri tafakari kwa makini chanzo cha yote hayo then angalia kama kuna solution kwa ajili ya ku-
jenga. kumbuka...
Kwa hakika hii Nchi inaudhi kibaya zaidi wapo wachache wanajaribu kucheza na maisha ya watanzania walala hoi wakidiriki hata kutumia dola inauma inaudhi this time WASIJARIBU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.