Recent content by SWADO

  1. S

    Inakuwaje Mambo haya??

    Ni kweli haya mambo yanaumiza but tukimtanguliza Mungu hakuna kinachoharibika if he/she is made to be urs he will always be urs and if not it can happen hata ukimpa nini
  2. S

    Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

    Tunawapa pole ndugu zetu waliofiwa Mungu awape faraja, majeruhi wote pia tunawaombea Mungu awaponye haraka, but walioko responsible na hii kitu ni lazima wawajibishwe tutaendelea kuumia hivi hadi lini and the government is not even caring its real bad.
  3. S

    Wanawake tuupinge huu mchezo!!

    Jamani hapo ni kuporomoka kwa maadili, kwa mtazamo wangu mi naona tusiwalaumu wanawake coz pande zote zinahusika kwani hata wanaume pia huwashawishi wanawake kufanya hivyo, Cha kufanya tumwombe sana Mungu abadilishe mioyo ya watu wawe na hofu ya Mungu then mengine yatafaninikiwa. Tafuteni kwanza...
  4. S

    Tanzania vs Palestine

    Jamani game vipi sasa
  5. S

    Wanawake na kupenda wanaume wenye hela...

    Embu nielekeze namna ya kutoa thanks si unajua mambo ya technologia kule kwetu yamekaa kushoto nikupe shukrani zako za dhati
  6. S

    Wanawake na kupenda wanaume wenye hela...

    Nice msg Michelle ujumbe umefika
  7. S

    A wedding Mass went like this:

    Ok orok delo
  8. S

    A wedding Mass went like this:

    Sory niliamaanisha nitaipeleka its a typing error si unajua tena
  9. S

    Mwanasiasa na picha za uchi- Epuka kupiga picha za utupu

    Technologia ni kama moto hutumika kwa mazuri na vile vile huunguza na kuua, moto hutumika kupikia chakula na vile vile ukitumika vibaya huleta maafa makubwa. Teknolojia imesaidia sana kwa upande mmoja na vile vile imeharibu maadili ya wengi
  10. S

    A wedding Mass went like this:

    Dena Amsi naas ntsipeleka kule kunako thanks
  11. S

    A wedding Mass went like this:

    Pastor; ifthere is anybody here that does not want this couple to be joined together in holy matrimony, he or she should speak out now." A man from the extreme of the church stood up and walked towards the alter. As the bride saw the man coming closer, she fainted.. The bridegroom and the...
  12. S

    Kaumbika lah, au fahari ya macho

    kweli si mchezo
  13. S

    Baba Mpenda 'blue' movies apata mshahara wa dhambi!!

    Ni kweli hizi picha zinaharibu sana maadili ya watu, Good lesson for him
  14. S

    TORRES: Happy to be Blue!

    I like that move, Chelsea sasa wamepata striker wa uhakika, sijui sasa Drogba na Anelka nani atasugua bench,
  15. S

    Nimewamiss hawa watu Jamani

    Hello Dena Amsi ''Dore awang'' karibu sana nasi pia tumekumis sana mama habari za utokapo wazee wazima wazima lakini?
Back
Top Bottom