Uzi mzuri, lakini ulivyojenga hoja eti kuwatetea wananchi wa vijijini eti ndo kuna wapiga kura wengi wa CCM sijakuelewa. Maana hao hao wananchi wa vijijini ndio wanapata gawio la hizo fedha za kifisadi kupitia matishirt, kimpumu, chumvi, chupi za ndani, majagi n.k.
Sasa airtime ya StarTV ndio imemuwezesha Magufuli kupata ushindi? Awe mfanya biashara au mtu awaye yote aliyemchangia Magufuli alishindwa pamoja nae, maana hajatangazwa kwa kura halali. Vinginevyo, bac apongezwe Makamba na kikosi cha kuiba kura na sio airtime yoyote.
Bado nasubiri, mpk nitakapoona sh ya tz imekuwa 500 kwa dola 1. Au shilingi ibaki hapo lakn tuwe na maviwanda yanayotengeneza bidha bora kuliko (Watz wenye akili mtakuwa mmeelewa kuhusu kanuni ya import na export economy).
Kwa ufupi nawashangaa wanaJF na Watz, napoona maoni yakitolewa kuhusu akina nani wawepo kwenye baraza jipya la mawaziri na kuona mnawataja hata wenye kashifa ktk uongozi wa Kikwete, mfano Muhongo na wengine. Je, hizo kashifa zao zilikufa na urais wa Kikwete?
Mara nyingi nimesema CCM hamnazo, lakini bado mnajifanya wajuaji.
1. Mleta mada umesema kesi inayohusu uchaguzi haiwezi sikilizwa na ICJ maana itakuwa ni sawa na kuingilia sheria za ndani ya nchi au sovereignty. Umetoa na mifano ya aina ya kesi zinazoihusu ICJ na sio hii iliyopelekwa na...
Magufuli ni mamluki wa Lowassa ndani ya CCM. Ushahidi namba moja ni kwamba alipita kwa kura za maoni za hasira za wanaCCM walokuwa wamejiandaa kumpa Lowassa. Mbili ni kwamba Magufuli mwenyewe alijiandaa kumpigia kura Lowassa.
Sasa, Magufuli ndio mamluki namba moja ndani ya CCM. NDUNGAI na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.