baada ya hapo baba anahaki ya kumchukuwa,mwanae bt hapo si kumhudimia means anatakiwa awe chini ya ulizi wa mam yake na sio kwa bab. means baba atakuwa anapeleka matunzo yote na baad ya kufik miak saba bab nae anahaki ya kumchukua,mtoto,na kuish nae. kwa undani zaidi soma law of marriage Act...
na ishu ya tatu mwanaume aende court akaseme hilo suala zima kuhusu hy,mikasa yao na akubali kutoa matunzo kwa huyo mtoto mpk akifikia miaka saba na akifik miak hyo anaihar ya kumchukua na kumlea mwenye
hapo ni hivi km mlikaaa zaid ya miaka miwili kuna presumption of marriage ilikuwepo so kulikuwepo na ndoa but yey si aliamua kuwa na mtu mwingine bs hiko ni kigezo moja wapo cha kuifanya ndoa ivunjike na pia sual la kutelekeza familia yey haikuitelekeza bt aliamua kuondok means yey ndiye alie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.