Taarifa kwa wale wote wa NACTE

Taarifa kwa wale wote wa NACTE

Nitumie hiyo link ya excel please na mimi ..my email is kisasalouis@gmail.com
 
Tulio omba kupitia NACTE majina yametoka vyuoni,nimeona jina langu Leo asubuhi kwenye chuo kimoja hivi kipo arusha.hivyo tembelea websites
 
majibu yao utafurah na roho yako....hawajibu kama taasisi ,wanajibu kama unachat na mchizi tu flan ,yan usishangae kukutana na impolite words.

Afadhali wa NACTE Kuna mhuni mmoja Facebook page ya TCU sijui ametokea wapi majibu take ya kihuni sana
 
Profile IPO vile vile na hakuna jipya lililoandikwa.
na HATA email hakuna news.
simu pia hawapokei.
NACTE THEY ARE NOT SERIOUS AT ALL
 
Kama hamna sehemu reset kuna uwezekano mkubwa umechaguliwa, mfano mmi nimeona jina langu jordan, kwa hiyo punguzeni homa mambo yatakuwa poa

Mkuu ya Jordan yanaonekanaje? najaribu ku-google nashindwa kuyaona.
Nijulishe tafadhali-0719225687
 
Kwani majina hayo yametoka lin maana wengine reset choice kwenye profile imetoweka juz tu
Kuna link moja humu ndani inasema vyuo vya arusha viwili vimetoa majina(IAA NA UOA)nimeangalia walio chaguliwa nikaona jina langu kwenye hiyo list ya majina,lakini profile yangu hamna mabadiliko zaidi ya continue with application.hakuna modify or reset
 
Ukwel hawa necta cijui wanasubili nn maana uku mtaani hari ci nzuri ukwel vip uko ndg, msaada 0763416344
 
Kuna link moja humu ndani inasema vyuo vya arusha viwili vimetoa majina(IAA NA UOA)nimeangalia walio chaguliwa nikaona jina langu kwenye hiyo list ya majina,lakini profile yangu hamna mabadiliko zaidi ya continue with application.hakuna modify or reset

Naomba link ya UOA tafadhar
 
Back
Top Bottom