Siku hizi hakuna cha baba mtu mzima wala kijana, woteni matapeli japo unaweza kubahatisha mtu na nusu ila sio rahisi, narudia sio rahisi,
Sasa kwa mtu kama mimi mwenye mapenzi ya karne ya pili huko nitateseka sana bora nibaki kuwa mpenzi mtazamaji.
Ni kweli usemacho, mimi kinachoniuma ni haya maneno ambayo wanaume mnaandika kuhusu sisi wanawake na nikijiangalia nilivyojitoa 100% nachoka kabisa, na sio mimi tu wapo wanawake wengi sana waaminifu ninaowajua ambao wanaumizwa na wanaume wao.
Nyinyi mnaokoteza malaya huko instagram, tiktok na...
Hii dunia haina usawa kabisa, mimi kuna kaka niliwahi kumpenda kiasi kwamba chakula hakipiti nisipomuona au kuongea nae, chochote alichpniambia nilikuwa natekeleza, nilikuwa namuheshimu kuliko hata wazazi wangu, ilifika hatua
nikakosana na rafiki zang wote kisa yeye maana alisema hawapendi...
Basi unajiona mjanjaaaa mwenyewe na hili jibu lako, haya bana yangu macho tu na masikio, wewe endelea na ufirauni wako sijakushikia panga na wala sina uwezo huo,
We tafuna tu mpaka tani yako kabla haujaenda kaburini kutafunwa na wadudu. Komaa bro
Kuna mtu alisema simu/mitandao inachangia kuongeza magonjwa ya afya ya akili, upweke na hofu ya maisha, hilo ni kweli kabisa, Tujitahidi kila mwaka kukaa nje ya mitandao yote japo kwa miezi mitatu, muda huo tuwe busy na vitabu tu itatujenga sana (Ambao tumesikitishwa na comments za humu)...
Katika malezi ya watoto wenu! ?? Sasa hapo unamaanisha hao watoto ni wa mwanamke pekee?
Halafu kwanini always mwanamke ndio tumuhisi mwenye makosa inapotokea kutengana? kwani hakuna wanaume wanaozingua katika ndoa zao? Tuache double standard jamani wanawake nao ni binaadamu, wanaumia kama...
Dunia hii ukisema usikilize kila ambacho unakiona mitandaoni unaweza kujikuta umekuwa mtu hatari,
Sometimes nyuzi kama hizi zinanifanya nitafakari upya juu ya hawa wanawake, umefanya research gani kugundua hayo yote mkuu?
Wapo wanawake wa juu ya 30 wametulia sana tena sana, na mimi binafsi...
Hakuna viumbe wanafki kama wanawake, kusema ukweli kwenye maswala yanayohusu sex huwa ni kazi mno kuwa wawazi, sana sana huwa ni unafiki mtupu, ila ngoja niwape siri "MWANAMKE HAPENDI MAUMBILE MADOGO 'KIBAMIA' hata kama yeye sio bwawa, dunia ilipofika hata ukioa bikra kama wewe ni mbovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.