Recent content by Suzi Rafael

  1. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Nani ni adui wa taifa: CCM au Katiba mbovu au mfumo wa udhibiti (power hegemony)

    PART 1: Je ni Adui wa Watanzania ni Nani ? Watanzania walio wengi wamekuwa wakiaminishwa na Wana siasa kuwa katiba mpya, Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi na Sera mbovu za Serikali iliyopo Chini ya CCM ni ndio adui mkubwa wa maendeleo ya watanzania na ustawi wa TAIFA Mwl Julius kambarage Nyerere...
  2. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Mtego wa Demokrasia na Katiba Mpya Tanzania

    SUB TITLE: Kiini macho (illusion) Cha Sanduku la Kura (Ballot Paper), Na Sababu Kwa Nini kupata Katiba Mpya na kubadili Sheria sio suluhisho la kudumu. By Suzi Rafael, Nchini Tanzania, Vyama vya Upinzani na wananchi wengi wamekuwa wakilalamikia na kupambana usiku na mchana kudai mambo...
  3. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Mtego wa demokrasia na Katiba Mpya Tanzania

    Katiba MPYA ni panaldo inayoondoa maumivu Kawa muda mfupi ila Watanzania wanataka Nini Suluhisho la kudumu au Suluhisho la kudumu Tanzania sio taifa maskini ila Tanzania ni taifa linaloendeshwa na watu wenye malengo ya Umaskini ili kuwadhibiti tabaka la Chini
  4. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Mtego wa demokrasia na Katiba Mpya Tanzania

    Wanasiasa Huwa ndio wa mwisho kuamua mchakato wa katiba mpya na mambo gani yawekwe na yapi yatolewe kipindi Cha mchakato wa kupata Katiba mpya isipokuwa Kwa mataifa mbayo uelewa wa wananchi ni mkubwa na hufatilia suala hilo mwanzo Hadi mwisho Mfano mzuri tu ni Mwaka 2014, Tume ya katiba mpya...
  5. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Mtego wa demokrasia na Katiba Mpya Tanzania

    SUB TITLE: Kiini macho (illusion) Cha Sanduku la Kura (Ballot Paper), Na Sababu Kwa Nini kupata Katiba Mpya na kubadili Sheria sio suluhisho la kudumu. By Suzi Rafael, Nchini Tanzania, Vyama vya Upinzani na wananchi wengi wamekuwa wakilalamikia na kupambana usiku na mchana kudai mambo...
  6. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Mtego wa demokrasia na Katiba Mpya Tanzania

    SUB TITLE: Kiini macho (illusion) Cha Sanduku la Kura (Ballot Paper), Na Sababu Kwa Nini kupata Katiba Mpya na kubadili Sheria sio suluhisho la kudumu. By Suzi Rafael, Nchini Tanzania, Vyama vya Upinzani na wananchi wengi wamekuwa wakilalamikia na kupambana usiku na mchana kudai mambo...
  7. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania SOLOMON MAHLANGU NA LEGACY ALIYOICHA AFRIKA

    Ni kweli kabisa Vijana ambao walipaswa kuwa mstari wa mbele kupinga mifumo kandamizi, utekaji na utawala WA Kidhalimu, lakini wamekuwa docile bodies Yaani watu ambao wanajua Matatizo yanayoliksbili taifa letu ila wanadhani hiyo sio kazi Yao. Ukiwafikiria Hawa Malcolm X Frantz Fanon Ahmed Bella...
  8. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania SOLOMON MAHLANGU NA LEGACY ALIYOICHA AFRIKA

    By Suzi Rafael July 10 mwaka 1956 huko Pretoria, Afrika Kusini alizaliwa Solomon Mahlangu. Baba yake alitoweka mwaka 1962 kwenda kutafuta maisha lakini hakurejea, hivyo Solomon alilelewa na mama yake aliyeitwa Martha Mahlangu. Akiwa sekondari yalitokea mauaji ya Soweto na akakimbilia Msumbiji...
  9. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania SOLOMON MAH

    By Suzi Rafael July 10 mwaka 1956 huko Pretoria, Afrika Kusini alizaliwa Solomon Mahlangu. Baba yake alitoweka mwaka 1962 kwenda kutafuta maisha lakini hakurejea, hivyo Solomon alilelewa na mama yake aliyeitwa Martha Mahlangu. Akiwa sekondari yalitokea mauaji ya Soweto na akakimbilia Msumbiji...
  10. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania MISEMO YA WIKI

    MISEMO YA WIKI 1. “ONE OF THE PENALTIES FOR REFUSING TO PARTICIPATE IN POLITICS IS THAT YOU END UP BEING GOVERNED BY YOUR INFERIORS .” PLATO (Adhabu mojawapo ya kukataa kushiriki siasa ni kutawaliwa na watu wasiokufaa.) 2. “POLITICS HAVE NO RELATION TO MORALS. ” NICCOLÓ MACHIAVELLI (Siasa...
  11. Suzi Rafael

    JamiiForums Tanzania Banking Model of Education in Tanzania

    BANKING MODEL OF EDUCATION IN TANZANIA (AKILI YAKO NI SILAHA KUBWA SANA KATIKA KULETA MABADILIKO NDIO MAANA MFUMO WA ELIMU WA TANZANIA ULIUNDWA HIVI KUIFHIBITI AKILI YAKO) SHULE ZILIBUNIWA ILI ZIKUFUNGE: Ukweli Mchungu Kuhusu Kwa Nini Huwezi Kufikiri Kwa Kujitegemea Wizi mkubwa kuliko yote...
Back
Top Bottom