By Suzi Rafael
July 10 mwaka 1956 huko Pretoria, Afrika Kusini alizaliwa Solomon Mahlangu. Baba yake alitoweka mwaka 1962 kwenda kutafuta maisha lakini hakurejea, hivyo Solomon alilelewa na mama yake aliyeitwa Martha Mahlangu.
Akiwa sekondari yalitokea mauaji ya Soweto na akakimbilia Msumbiji...