Recent content by Surya

  1. Surya

    JamiiForums Tanzania Hizi ni dalili 15 zinazoweza kuonyesha tatizo la tezi dume (prostate)

    Tezi dume ni kama Liver disease, kupona ni ngumu, itapata pesa nyingi kuitibu
  2. Surya

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1992 nikiwa nasoma mafundisho ya kipaimara, siku moja tulikuwa darasani Sister anafundisha. Katika kuzunguka akamkuta mwanafunzi mmoja na hirizi

    Nimekubali, Na mimi naona hirizi uvae usivae haziongezi kitu kitakachokusaidia ni, akili unatambua how is your savior ?
  3. Surya

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kufanya dhambi gani duniani hata ukajutia?

    Kuna viumbe wao kusema neno samahani wanaona ni kujivunjia heshima
  4. Surya

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Nakubali 😂
  5. Surya

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1992 nikiwa nasoma mafundisho ya kipaimara, siku moja tulikuwa darasani Sister anafundisha. Katika kuzunguka akamkuta mwanafunzi mmoja na hirizi

    Bwana mzee, hiyo rozali kuiita hirizi pengine haipingiki but believe my words brother, Jesus is our Savior.
  6. Surya

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Emagine yesu alifikiriiii anawaza kinywaji kitakacho wakilisha damu yangu ni iwe ni Tungi pombe mzeeeee
  7. Surya

    JamiiForums Tanzania Serikali iruhusu video za uchi na ngono mitandaoni na vipindi vya luninga

    Hiyo miiko wameweka sababu ni ufala unawasumbuaga kitambo 😂😂😂😂
  8. Surya

    JamiiForums Tanzania Serikali iruhusu video za uchi na ngono mitandaoni na vipindi vya luninga

    Waone tu, hayahepukiki hayo
  9. Surya

    JamiiForums Tanzania Serikali iruhusu video za uchi na ngono mitandaoni na vipindi vya luninga

    Viongozi hawaelewi kwamba Kila kitu cha faa kikitumia vizuri, warudishe duboji za wenyewe bhana.
  10. Surya

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Kuna tafiti nilikua nafatilia, hizi chanjo hizi, ndio zinatubebesha magonjwa. Unajua kuwa virus wa ukimwi alitengenezwa na wajomba?
  11. Surya

    JamiiForums Tanzania Miaka 20-40: Ramani ya Uzeeni au?

    Bila cannabinoid za kutosha hutoboi
  12. Surya

    JamiiForums Tanzania Hii baridi, sio hili baridi

    Huyo si Kenyonyo hapo mbele 😅😅
  13. Surya

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu ya ajabu kunikuta ila Ni somo linanipa kicheko leo

    Say something 😄
  14. Surya

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu ya ajabu kunikuta ila Ni somo linanipa kicheko leo

    Padri huyu hapa, The Monk
  15. Surya

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu ya ajabu kunikuta ila Ni somo linanipa kicheko leo

    1. Nikiwa sekondari wakati tunaanza form 2 nilijikuta accidental Nanyoosha mkono kugombea uongozi wa darasa, Nilipata Kura Moja (1) yani kura moja yakujipigia mwenyewe darasa lina zaidi ya wanafunz mia. then kuna rafik yangu wa karibu alitafuta nafasi muda tukiwa darasani akajipitisha na maneno...
Back
Top Bottom