Coz
[27]bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;
[28]tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko...
Nilieleza jinsi ambavyo shetani ni roho hutafuta watendea kazi wenye mwili.
Kumuangamiza mtu kirahisi humtumia ndugu wa nyumbani mwake.
Na Mungu ni hivo hivo, huwalinda na kuwatumia wateule wake (chosen one) kufanya kusudi lake.
Ukifanya yako na kumkataa Mungu yeye Mungu hana shida na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.