Recent content by Surya

  1. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unapenda watoto?

    Acha Tamaa
  2. Surya

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Hivi wachawi wana mpendea nini paka. Ni kweli wachawi wengi huvaa umbo la Paka na kwenda kuwanga ?
  3. Surya

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Inabidi Kuchukua maamuzi ya Kuchagua serikali gani uitumikia, ili ikupe Vazi. Kingdom of Light ot Kingdom of darkness,,, Kunya kwenye ndoto ina maana nzuri kwamba unatoka taka mwili (matendo mabaya) lakini ukiona umeshindwa kupata huduma ya toilet hilo ni Tatizo.
  4. Surya

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Nguo au Vazi - To covering the body - Carrying your identity mfano nguo za mwanajeshi. Tafsiri inakua -
  5. Surya

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Kuwa wengine wanaota wako uchi, hawana nguo in a public place.
  6. Surya

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unaota umepoteza kiatu/viatu?

    Mmh unauhakika vinahusiana na ndoto yako ?
  7. Surya

    JamiiForums Tanzania Ukiroho wa tendo la Ngono

    Sawa hauamini kama kuna roho au Mapepo ? Nyie ndio wale ambao mnakataa uwepo wa Mungu. sibishani na nyie akili zenu mnazijua wenyewe
  8. Surya

    JamiiForums Tanzania Ukiroho wa tendo la Ngono

    Tupe wewe ukweli
  9. Surya

    JamiiForums Tanzania Hivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??

    Uwanja wa vita, Lawama tuwape wazazi hawakutusanua mapema.
  10. Surya

    JamiiForums Tanzania Ukiroho wa tendo la Ngono

    Mambo manne (4) yanayotokea wakati wa Ngono. a. Kukidhi matamanio au kujifurahisha (Satisfying desires) b. Kutengeneza muunganiko au mfanano ( To create bond) c. Kuchangia nishati au nguvu ya ndani ( To share energies) d. Kubadilishana roho or (inherit spirit) Wawili wanaposhiriki tendo...
  11. Surya

    JamiiForums Tanzania Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

  12. Surya

    JamiiForums Tanzania Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

    Mimi nakushika mkono na hakuna kitu kitanipata. Usiige hiyo ni mm mr. Priest
  13. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni zaidi ya hofu ya kupoteza pesa au mali

    Shida Maisha yamebadilika kinoma, Nilipokua shule ya msingi, miaka ya 2005 tu hapa, Sh. 200 napata kikombe kidogo cha Maziw sh. 100 na maandazi Matano ya sh. 20 nakula nashiba. njoo 2026 utatubu I prefer to be single 😉 😂 for a moment
  14. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kataa ndoa ni kampeni ya kijinga kuliko zote duniani

    Sector ya ndoa kutema ndoano ni dakika zero tu ,
Back
Top Bottom