Recent content by Surupwenye

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nenda mpenzi wangu

    Habari wana Jf? Ni siku nzuri na ya pekee sana huwa tuna iita jumapili . Kiukweli nimeamini kweli mapenzi yana nguvu sana pale tu unapo tokea kumpenda mtu kwa dhati pasi kujiegemeza kwa uzuri wa sura, mavazi , pesa , nk . Tarehe kama ya leo mwaka jana ni siku ambayo katu sitokuja kuisahau...
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na dhana ya "we can just be friends

    yap hakaki hakuna kitu ka icho. huwa na chukia sana demu wangu akiniambia upuuzi kama huo et just a nomal friend fyuuuuuuuuu
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na dhana ya "we can just be friends

    huwa na chukia sana demu wangu akiniambia upuuzi kama huo et just a nomal frend fyuuuuuuuuu
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Just stay away from me girl

    Una moyo mzur ndugu yangu if i was me angepata shida hata kunywa sumu asinge tamani maneno yangu tu yangekua sumu tosha kabisa
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashepu na vishepu

    Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri ndugu zangu

    Mpende anaekupenda usimuache kwa ajiri ya huyo uliyemtamani unajua kuwa huyo unayempenda nae anamtu anayempende wewe kakutamani tu.Elewa mapenzi yanatengenezwa tu.
Back
Top Bottom