Habari wana Jf?
Ni siku nzuri na ya pekee sana huwa tuna iita jumapili .
Kiukweli nimeamini kweli mapenzi yana nguvu sana pale tu unapo tokea kumpenda mtu kwa dhati pasi kujiegemeza kwa uzuri wa sura, mavazi , pesa , nk .
Tarehe kama ya leo mwaka jana ni siku ambayo katu sitokuja kuisahau...
Haaaa! haaaa! haaaa! wanawake mnashida tabu yote ya nini? Ebu fikilia ndo upo na mtu wako kwa siku ya kwanza mnataka kutupiana vitu inafika kipindi cha kuchojoana nguo unakuta mambo kama hayo loooooooh! Aibu gani hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.