Good life inaendana na standard ya maisha uliyopo ,huwezi kung'ang'ania standard ya maisha kama alivyoelezea jamaa hapo juu ikiwa bado unajitafuta hata kama upo katika standard ya kati ,huwezi kutoboa huo ndio ukweli
Hamna kitu kama hicho,hivi unatumia tu no saving,je utasave vipi ili ufanya investment au fedha itashuka juu ndio ufanyie investment??,wakati mwingine tukuwe kiakili tuachane na ulimbukeni pamoja na nonsense
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.