Recent content by Superhuman 1995

  1. S

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Good life inaendana na standard ya maisha uliyopo ,huwezi kung'ang'ania standard ya maisha kama alivyoelezea jamaa hapo juu ikiwa bado unajitafuta hata kama upo katika standard ya kati ,huwezi kutoboa huo ndio ukweli
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kenya kuwafurusha machinga ni athari kwa nani?

    Kila mtu apambana na nchi yake
  3. S

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Hamna kitu kama hicho,hivi unatumia tu no saving,je utasave vipi ili ufanya investment au fedha itashuka juu ndio ufanyie investment??,wakati mwingine tukuwe kiakili tuachane na ulimbukeni pamoja na nonsense
  4. S

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Kwa mtu mwenye ndoto ya utajiri hawezi kuishi maisha ya gharama zisizo na ulazima kama ulivyoainisha hapo juu,labda ni limbukeni tu
  5. S

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Directly lazima uzeeni ufe maskini kwa hiyo lifestyle
  6. S

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Tajiri anawaza how to minimize costs,lakini maskini anawaza how to maximize expenditures, daah dunia hadaa Ulimwengu shujaa
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kenya imeamua kuiga Afrika kusini!!

    Wakenya na watanzania ni jamii zinazoendana sana
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kenya imeamua kuiga Afrika kusini!!

    Hii imekaa vizuri ili kupambana sasa kumvurusha common enemy kwa pamoja
Back
Top Bottom