Akili yake kisoda.
JPM alikataa chanjo ya covid19.wazungu wakatumia raia kama hao kumlaumu,kua hana upendo na raia wake na tutakufa kama kuku.
Leo hii baadhi ya majimbo kule U.S.A wanaenda kuuishtaki kampuni iliyo tengeneza chanjo ya covid19,kuwa walidanganya raia chanjo ilikuwa na madhara na...
Shida ya Biden ni afya imegoma kuendana na nia yake.tuludi kidogo kwenye fikra,tatizo sio kukaa madarakani muda mrefu,kama unasimamia wajibu wa wananchi wako hiyo hata ufie hapo sio tatzo.
Mwandishi mmoja wa UK alimuuliza mugabe,nilini utatoka madarakani nae akamjibu"KWANZA KAMUULIZE MALIKIA...
Muumini lazma anajua ratiba za Sara yake sio lazma aamshwe kama analazimishwa.anakuwa anaenda for show off.
Ilakama ni siku ya ibada ijumaa au mahubiri sauti kwenda mbali sioni shida.nakuja upande wa imani nyingine kuna vizehebu kupiga kelele usku na mapambio kwanini msiweke sound proof.ila j2...
Nashauri na kutoa nafasi ya pekee safari ya kwanza ibebe wabunge wote kuwapeleka dodoma.....
Huku wananchi kila jimbo waandae mashimo ya futi sita kama una D2 umenipata.
Mtakuja kunishukuru baadae
Kama uislam ulianza na Muhammad inamana alizaliwa na makafiri.
Nani alibuni muundo wa ujenzi wa msikiti?
Jamii aliyoikuta walikuwa wa dhehebu gani.
Kwani ni lazima quran isomwe kwa kiarabu then mtu atafasiri mstari uleule alafu auchambue kwa lugha myingine.inashindikanaje iandikwe kwa lugha ya...
Bora lisu alijisemea mimi siingili faragha ya mtu.hehehe walimuuliza unaweza kuupinga ukipewa mamlaka.akaona huu mtego wakati akizngua bongo wao wanampa hifadhi.
Unatakiwa kujiuliza saizi mtu wa upinde akitokea kwa nchi inayokataza hayo mambo.atapewa msaada wa weupe na kupewa makazi kwenye nchi...
Kwa mtazamo wa haraka,waislam wanamtaja ismail.kwakuwa mama yake alitokea misri.mwenye ufahamu atajiongeza.
Ingekuwa alizaa na mwanamke tokea Italy,China.ila sio nchi yeyote y kiarabu.hapo show ingekuwa nyingine kabisa.nadhani hata ibrahimu asingekuwepo kwenye quran.
Wazungu bwana wako vizuri.wanasema ilimaisha yaendelee lazima Dunia isitulie.mkiwa na uongozi unaojitambua,wata wezesha wapinzani kwa gharama zozote ilikutikisa serikali,
Serikali ikiluka hicho kikwazo basi wanakuja na mbinu ya kugawa pesa,kwa makundi ya hovyo ya poteze amani.
Ilikutawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.