Unachanganya Nyati na Ng'ombe maji sijui takataka gani! Ila Mzee wa Ngwasuma hafugiki! Ile ngoma acha tu, kidogo initoe roho Lake Manyara..hakuna mdudu mkorofi, jeuri kama yeye! Wewe usipomuona sio issue yake ye anakuwinda! Unaweza kukaa umetulia kumbe anakulia timing, mnyama mnduku sana huyo...
Hujamfuatilia, kuna siku sikupata usingizi kwa upuuzi wake na anafanya makusudi..nahisi namfahamu[emoji1] ni wa humu humu, mtu wa Tanga kuna kipindi alikuwa Bagamoyo! Ni jabali la Linguistic [emoji1] ana majibu huyoooo!
Akili za mtoa mada naamini ni Tanzania 1, amejua kuchezesha madishi ya wachangia mada na mods, he has a very good sense of humor, nampenda sana ...nacheka mpaka nameza dawa[emoji1] huyu probably ni mwalimu[emoji1]
Maviiii..haitokaa itokee! Mwendakuzimu alitaka after yeye aje Mwinyi..Then what happened? Ulijiuliza kwanini kifo cha mwendazake na maalim kina tofauti ya mwezi mmoja kamili? 21st Feb na 21march? Kumbuka walikutana Chato na Dkt Mwinyi akaenda soko la Mganza kwenye dagaa na vyuo vya Veta...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwanini nimecheka kwa sauti..labda ulivo mu address Kakurwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hana lolote huyu nyauba anakaa kawe ukwamani, kapanga nyumba ya mzee mapupu! Hana maana..anakopa balimi Open Air na company yake kubwa ni Dkt Komba mtoa mimba maarufu[emoji23][emoji23] namsubiri aje!
Unless kama hunywi pombe, zamani huku majeshini ilikua kila kitu bure..sikuhizi tangu JK apate mkopo wa zile nyumba ziko 2006 nadhani nchi nzima..unakatwa kwenye mshahara, unalipa bili zote..ni bora ukapange uraiani..Theres no free lunch in New York
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.