Katiba ya Nchi pia IPO kwenye softcopy,,Sasa chukua hardcopy ichome hadharani...
By the way kuchukua Qur an au Biblia kuchoma maana yake ni kwamba ameidharau ndio maana watu wanaonyesha makasiriko yao kwa kuandamana.
Alipo kuwa anakunya na kukojoa Adamu kabla hajatenda dhambi na Sisi tutakunya na kukojoa hapo hapo
Narudia Tena Peponi tutaishi kama binadamu kula na kunywa nikama kawaida
Kwa sababu Mungu ametuumba kwa umbo lililobora kabisa kuliko kiumbe chochote kuwahi kutokea, malaika wenyewe wanasuburi.
Okay wewe kwa mujibu wa Mungu wako amekuahidi nini ukifika mbinguni kama binadamu
Ukute unapambana kuishi kwa Imani nzuri afu huna ahadi yoyote mbinguni .
Eti unaahidiwa ukifika mbinguni utakuwa unaimba...Sasa wewe kama binadamu kuimba ndio starehe yako ni kitu kinachokuvutia hicho.
Kwani Eva aliubwa Ili Adamu amfanyaje kama siyo kumpiga miti, kula na kunywa kwa pamoja.
Kwa hiyo unahisi ukifika mbinguni utaishi kama malaika...bro wewe binadamu huwezi kuwa malaika...mbinguni utakula na kunywa
Jibu swali Mbinguni utaimba kwa kutumia lugha gani?
Kama hujui lugha utakayotumia ndio unafundishwa kuwa utatumia kiarabu!
Na kama ukibisha kuwa siyo kiarabu Lete andiko linaloonyesha lugha utakayotumia kuimba nje ya kiarabu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.