Kabisa maana kama unajaribu Mara mbili Mara tatu mwishowe unakamatia hasa na kujikuta faida zinaflow.Kama hauko tayari kufeli na ukajaribu tena huwezi toka.Yani ukianguka unatakiwa kufikiri chanya na kufikiria ni kipi umekosea ni wapi ujaribu unapozidi kujaribu ndo unakuta unapata kitu kizuri zaidi
Ndiyo maana nimekataa kusoma masters mpka niitumie kwanza hii degree yangu niridhike wanawaza kuwezeshwa kweli hao ni zero mind.Vyakufanya vyoteeeeee wao wanawaza kupewa ajira dah!Haya majipu
Mh aise kuna watu ni negative mind kabisa,they just blaming all the time.As if wanajua kila kitu.Mtoa mada umeongea vema.Kuna watu kuthink positive ni kazi.They just play blaming game
Naunga mkono hoja,asiige ujamaa ila baadhi ya Sera za China.Akiziintroduce Bongo nani ataiba na kazi zitafanyika.
Ndiyo tunahitaji bunge live lakini uchumi ndiyo hoja ya msingi.Watanzania wanalia na umasikini ishu live weng hata hawajishughulishi nayo.
Kwanza pole mheshimiwa.Nakupongeza kwa kazi uliyoanza na ninakupa nguvu ya kuendelea.Changamoto ni nyingi ikiwemo kutoonyeshwa live bunge.Tuna haki na hili naamini kwasababu uko kwaajili ya watanzania ili usishushe hadhi yako soon tutaanza kuona live kwani ni wakati muhimu wa budget na budget...
Au siyo!Nimeipenda sasa kazi site zipo hazipo zipo na majipu yanatumbuka,kuna nini sasa!Naona hoja yao ya ufisadi imekwisha now wanazungumzia utawala bora.....
Wanataka kuturudisha kwa Jakaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.