kama kicha kinavyojieleza apo juu mfanyakazi awe mzoefu anayejua kupika vitafunwa na chakula kwa ajili ya mlo wa mchana na jioni,awe mkarimu kwa wateja na msafi.NB ni mgahawa mdogo ,malipo tutalipana kwa siku .pm kwa mawasiliano zaid
Wanasheria naomba msaada wenu vyeti vyangu kuanzia cha kuzaliwa mpaka sekondary nimekuwa nikitumia majina mawili yan jina langu na la ukoo ,lakini cheti chanu cha college kina majina matatu yani na jina la kati ,nifanyeje ili kuhalalisha icho cheti kuwa ni changu?
Mimi ni msichana wa miaka 22 Nina certificate ya hotel management, nipo Tayar kufanya kazi mkoa wowote nipo vizur kwenye department zote za hotel .asante
Guys at least inabid mtu aonyeshe kujali as mko pamoja kwa malezi Sio majukumu yote Ni wew Hadi Unapata msongo wa mawazo sababu masaa 24 huna mtu wa kukupokea, inauma Sana kuona swala la malezi Ni lako peke yako wababa hawana Hata muda wa kushuudia maendeleo ya watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.