Nina mfahamu kamanda huyu mpambanaji,natambua mchango wake kwenye chama hasa anayoifanya mpaka sasa hapa Arusha,kimsingi ni jembe la kazi litakalowakomboa wana Bahi na wagogo wenzangu,mimi nakwenda kuwakomboa wana mtera kupitia kata ya Fufu-chamwino dodoma.
Huyu RC wa Arusha ni majanga tupu,kwanza hajui hata wajibu wake,kumbe ndomana hataki kuhamishwa hapa kwasbb ya ufusika anaoufanya,polisi fanyeni kazi yenu ya uchunguzi bila kuingiliwa na huyu fataki mwolongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.