Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Ile kesi yake ya kubaka kule ulaya imefikia wapi?
Alikubaka wewe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ile kesi yake ya kubaka kule ulaya imefikia wapi?
Sadaka ya mama yako inatosha kabisa kukomboa nchi.
Wewe nenda Lumumba utoe 0713 utapewa buku7
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kiambatisho; Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika
Taarifa za kweli kuhusu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kumbaka mwanadada Flora Lyimo tarehe 8.8.2012 nchini Uingereza wakati wa ufunguzi wa tawi la chadema nchini humo umezidi kubainika.
Tarehe 2 -3, january 2013 akiwa tanzania, Flora aliwasilisha barua ya polisi wa uingereza kwa polisi kituo cha Moshi mkoani kilimanjaro na kufunguliwa jalada no.MOS/RB/17127/13.
Aidha tarehe 13/12/2012 Afisa upelelezi DC William Hughes wa kitengo cha uhalifu jeshi la polisi la uingereza kituo cha 4-6 shepherdess walk N17LF alifika ubalozi wa Tanzania nchini uingereza ili kujua pamoja na mambo mengine,
-Taarifa sahihi za GODBLESS LEMA
-Anuani yake
-Barua pepe
Ushauri kutoka mamlaka za Tanzania juu ya mikakati mizuri ya kushughulikia kesi hiyo ambayo inamuhusisha kiongozi wa chama kikubwa cha siasa na
-Wasifu wake.
Mbali na tukio hilo kuripotiwa ubalozini, vyanzo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Gazeti la changamoto la tanzania toleo namba 348 la tarehe 18- 24 desemba 2012 lilichapisha taarifa ya tukio hilo kwenye ukurasa wake wa mbele.kwa kichwa cha habari "POLISI UINGEREZA WAMSAKA LEMA", Pia blog ya global publishers ya nchini tanzania katika report zake za tarehe 14 mei 2013 iliandika habari hiyo kwa kichwa cha habari "MREMBO;MBUNGE AMENIBAKA" Ambapo mrembo huyo (flora) alieleza alivyochaniwa na kufanyiwa kitendo hicho. alieleza kuwa lema alikuwa amemsindikiza mpaka nyumbani na walipofika LEMA aliomba aonyeshwe sehemu ya kujisaidia haja ndogo ndipo alipomvamia Flora na kumchania nguo na kutekeleza azma yake hiyo ovu.
Flora amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za kijamii lakini ana wasiwasi kuwa anaweza kufanyiwa unyama na LEMA wakati akiwa Tanzania kwa sababu anasema anamfahamu lema pia kuwa ana asili ya ujambazi.
kiambatisho ni barua ya polisi wa kimataifa interpol kumweleza kuwa uchunguzi wa kesi yake unaendelea.
Usitumike kijana, umri unakwenda
We unamdharau lakini ndio chakula cha lema, mbunge wakoDuh! Huyo nyang'au flora alivyo mbaya,na zile picha zake alizovaa lichupi!! Ptuuuuh.....bibi kizee! Bora hata huyu mbunge wa viti maalum wa miaka 60 ndoa yake iliyovunjika kwa mjukuu wake wa miaka 26 na kuwadi akiwa Lwakatare anayeliwa na dreva wake,ni yule aliyetaka JF kufungiwa.
Dada yako flora lyimo kule uingereza, kwa hiyo lema ni shemeji yako wa kubakaAlikubaka wewe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
We ni mke wake lema au ndio lema mwenyewe, mbona una hasira ivi, hupendi aibu zako kujulikana ee? Acha uzinzi sasa, mwenzio slaa ana hawara yake amewatelekeza wale wa mwanzoSadaka ya mama yako inatosha kabisa kukomboa nchi.
Wewe nenda Lumumba utoe 0713 utapewa buku7
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unataka akuoe ndo ujue yupo?sisi wananchi wake tuliemchagua tunajua yupo na anapiga kazi,kama wewe unataka kesi mbake hata mtoto wako-utaipata kesi2-pumbaf
hiyo mikutano anaifanyiaga wapi? Nataka mkutano ujao na mimi nije nisikilize, ila sadaka sitoi!
Ww unatoa 0713? Vp masharti yako, free of charge au kuna ka kiingilio kdgSadaka ya mama yako inatosha kabisa kukomboa nchi.
Wewe nenda Lumumba utoe 0713 utapewa buku7
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Anapiga madem chuo cha uhasibu pale kwa kwenda mbele, km una mdogo ako pale ujue lema ni shemej akoUliza wana wa Arusha wanajua jinsi anavyoendelea kufanya mikutano jijini humo kwa kifupi tu jamaa yupo na anapeta kama kawaida mkuu.
Halafu anawadanganya wafuasi wake kuwa DHAMBI KUBWA KULIKO ZOTE NI UWOGA!
Kazi gani Lema Anapiga? acha kuturubuni wanaarusha.
kiambatisho; Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika
Taarifa za kweli kuhusu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kumbaka mwanadada Flora Lyimo tarehe 8.8.2012 nchini Uingereza wakati wa ufunguzi wa tawi la chadema nchini humo umezidi kubainika.
Tarehe 2 -3, january 2013 akiwa tanzania, Flora aliwasilisha barua ya polisi wa uingereza kwa polisi kituo cha Moshi mkoani kilimanjaro na kufunguliwa jalada no.MOS/RB/17127/13.
Aidha tarehe 13/12/2012 Afisa upelelezi DC William Hughes wa kitengo cha uhalifu jeshi la polisi la uingereza kituo cha 4-6 shepherdess walk N17LF alifika ubalozi wa Tanzania nchini uingereza ili kujua pamoja na mambo mengine,
-Taarifa sahihi za GODBLESS LEMA
-Anuani yake
-Barua pepe
Ushauri kutoka mamlaka za Tanzania juu ya mikakati mizuri ya kushughulikia kesi hiyo ambayo inamuhusisha kiongozi wa chama kikubwa cha siasa na
-Wasifu wake.
Mbali na tukio hilo kuripotiwa ubalozini, vyanzo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Gazeti la changamoto la tanzania toleo namba 348 la tarehe 18- 24 desemba 2012 lilichapisha taarifa ya tukio hilo kwenye ukurasa wake wa mbele.kwa kichwa cha habari "POLISI UINGEREZA WAMSAKA LEMA", Pia blog ya global publishers ya nchini tanzania katika report zake za tarehe 14 mei 2013 iliandika habari hiyo kwa kichwa cha habari "MREMBO;MBUNGE AMENIBAKA" Ambapo mrembo huyo (flora) alieleza alivyochaniwa na kufanyiwa kitendo hicho. alieleza kuwa lema alikuwa amemsindikiza mpaka nyumbani na walipofika LEMA aliomba aonyeshwe sehemu ya kujisaidia haja ndogo ndipo alipomvamia Flora na kumchania nguo na kutekeleza azma yake hiyo ovu.
Flora amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za kijamii lakini ana wasiwasi kuwa anaweza kufanyiwa unyama na LEMA wakati akiwa Tanzania kwa sababu anasema anamfahamu lema pia kuwa ana asili ya ujambazi.
kiambatisho ni barua ya polisi wa kimataifa interpol kumweleza kuwa uchunguzi wa kesi yake unaendelea.
Usitumike kijana, umri unakwenda