Mi ninae wangu ananipenda had basi, msikivu, anajua kujali sasa ndani ya 6 by 6 ndo usiseme ila sasa ananishangaza na vjumba vdogo maana ana kila dalili kuwa anavyo
Jaman kuna hii inaitwa Ison ipo customer care ya airtel na Tigo yaan wenyewe ndo hawana hata mpango wakucomply na leo wanapamba tigo customer care wanasherehekea kutimiza miaka 2!!!
Yaan kwakweli ni uonevu. Ipo kitu inaitwa Ison na miez minne ilopita ilikuwa ikiitwa Spanco ambayo inaajiri kwa ajili ya Tigo na Airtel. Yaan hii watu tunateseka jaman yaan mnagawana na muhindi ye anachukua robo tatu we unapata kanakobaki. Ni waonevu sana ss sielewi hili fagio na kwao inabidi...
Check rim zaweza kuwa zimepinda. Fanya wheel alignment na balance pia waweza jua tatizo, nilishapata tatizo km hilo na nilipofanya haya tatizo likawa ni rim
Kuna kampuni yaitwa Spanco ina outsource watu wa customer care for tigo na airtel. Jaribu kupeleka cv huwez jua ingawa sio utaalam ulosomea waweza kufanya kwa muda ukifaulu interview huku unaendelea kutafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.