Mi nimeikuta zimebaki timu 49. Zimekubali zote kasoro moja ya Besikitas nayo imeahirishwa. Asanteni sana waunhwana kwa kushea codes[emoji122][emoji122][emoji122]
Wajenge uwanja wa ndege wa maana Bukoba. Waache kuendekeza ukabila na chuki dhidi ya watu wa Kagera. Kauwanja ka ndege kamebana mji wote na kapo mjini katikati, wamelazimisha hadi kamegawanya mji katikati, huwezi kwenda upande mwingine mpaka uzunguke. This is shame.
Alafu baadae mnakuja...
Kyoma naiwe oli wa nkaa si?
Kwani anapolalamikiwa makamu wa Rais, kipindi kile cha Magufuli nani alikuwa makamu wa Rais? Kutetea uovu ni kazi sana[emoji2][emoji2]
Bila shaka atakuwa amelelewa na single mother. Narudia tena kutoa ushauri usijichanganye kuoa mwanamke aliyelelewa na single mother. Kwa.maneno mengine usioe mwanamke ambae mama yake ni single mother. Ukibisha shauri yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.