Recent content by Sundiata

  1. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Elimu sekondari Njoo Msalala dc(kahama) nije moshi
  2. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Elimu sekondari Njoo Msalala dc(kahama) nije moshi
  3. S

    ARUSHA: What went wrong? Mount Meru Hotel inauzwa, Snow Crest ipo mnadani

    Na sasa bandarini hali n mbaya! Tujiandae kwa mdororo wa uchumi'
  4. S

    ARUSHA: What went wrong? Mount Meru Hotel inauzwa, Snow Crest ipo mnadani

    Serikal Ipi? Hii yetu juzi tu imelalamika watu wameficha pesa
  5. S

    TPA: Ni kweli Mizigo imepungua Bandarini

    M/kit kamat amesema walipeleka mapendekezo yakakataliwa' hii nchi sasa n ya mtu mmoja tu analoamua yy ndo hilo hilo hata lisipokuwa na maslahi kwa taifa!
  6. S

    Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

    Halaf anasema tumuombee kwa Mungu! Kweli? Ni Mungu yupi huyo atanayekubali maombi kwa mtu wa namna hii.
  7. S

    Dawa ya deni kulipa walimwengu

    Tena hawa ndugu ndio hatari zaid ukiwakopesha!
  8. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Isaka secondary' Msalala dc kahama-Shinyanga nije Moshi-kilimanjaro: idara secondary: 0758615862
  9. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Isaka Secondary' Halmashauri ya Msalala-Kahama(Shinyanga) nije Moshi-kilimanjaro: idara sekondari:0758615862
  10. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Isaka Secondary' Halmashauri ya Msalala-Kahama(Shinyanga) nije Moshi-kilimanjaro: idara sekondari:0758615862
  11. S

    Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

    Huko jeshi la polisi ndo wamejaa waliogushi vyeti, ingekua vyema wakaanzia huko
  12. S

    Pongezi kwa kampuni ya TAHMEED kwa kuagiza mabasi 26 mapya

    Tuleteeni Moshi -Arusha-Kahama hii njia ina abiria wengi tatizo bus mbovu za njia hii
  13. S

    Bashe: Ualimu ni chaka la watu waliofeli, Hakuna dira ya taifa la viwanda

    Hii hoja haina uhalisia kiasi hichi ambacho watu wanaamin' mm ni mwalimu, nafundsha secondary-Kahama, nina BA(ED) ya DUCE upper second, ACSEE nina div 2 point 10, CSEE nina div 3 point 22! Sasa inamaana mm nlifeli? Yawezekana wapo waliofeli lakin si kwa kiwango hichi ambacho watu wanaamini...
  14. S

    Mhe. Bashe tengua kauli...

    DUCE nmemaliza 2013, lecturer weng ndio wanaofundisha main campus-udsm' o-level na A-level nmesoma government schools! Hii hoja ya kuwa "ualimu n kichaka cha waliofeli" haina uhalisia kiasi hicho ambacho watu wanaamini
  15. S

    Mhe. Bashe tengua kauli...

    Tupo mm n Mwalimu nafundisha Secondary-Kahama, csee nilipata div3 point 22, Acsee nilipata div2 point 10, BA(ed) ya DUCE nina Upper second with honors! Sasa hii hoja ya ualimu n chaka la waliofeli linahusu walimu wa ngazi IPI? Kama n primary yawezekana kabsa wapo waliofel wanafundsha huko...
Back
Top Bottom