M/kit kamat amesema walipeleka mapendekezo yakakataliwa' hii nchi sasa n ya mtu mmoja tu analoamua yy ndo hilo hilo hata lisipokuwa na maslahi kwa taifa!
Hii hoja haina uhalisia kiasi hichi ambacho watu wanaamin' mm ni mwalimu, nafundsha secondary-Kahama, nina BA(ED) ya DUCE upper second, ACSEE nina div 2 point 10, CSEE nina div 3 point 22! Sasa inamaana mm nlifeli? Yawezekana wapo waliofeli lakin si kwa kiwango hichi ambacho watu wanaamini...
DUCE nmemaliza 2013, lecturer weng ndio wanaofundisha main campus-udsm' o-level na A-level nmesoma government schools! Hii hoja ya kuwa "ualimu n kichaka cha waliofeli" haina uhalisia kiasi hicho ambacho watu wanaamini
Tupo mm n Mwalimu nafundisha Secondary-Kahama, csee nilipata div3 point 22, Acsee nilipata div2 point 10, BA(ed) ya DUCE nina Upper second with honors! Sasa hii hoja ya ualimu n chaka la waliofeli linahusu walimu wa ngazi IPI? Kama n primary yawezekana kabsa wapo waliofel wanafundsha huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.