Pilipili Mbuzi unaotesha mbegu kwenye kitalu kisha unahamisha shambali na yaratibu zingine zinafuata ni hatua nyingi mie nalima lakini kwa msaada zaidi watafuye KILIMO MAARIFA wanayo miongozo mizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wakuu na samahani kwa kuchelewa kujibu nimeulizwa UGUMU na URAHISI wa KILIMO cha Pilipili Mbuzi well, ugumu kwa Mimi nilioupata ni sikupata mwongozo mzuri wa mfumo wa umwagiliaji na hii ni kutokana na mtaji mdogo maana plan ya umwagiliaji inahitaji pesa kwa wataalamu hili kina niumiza...
Wadau naomba muongo kwa mwenye kufahamu kuhusu biashara ya cement mtaji wake, Faida yake, changamoto zake, na mbinu za ufanyaji wake na je ina faa kwa MTU mwenye mtaji mdogo wa 3m? Msaada please
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.