hv ww upo nchi kwani hujui ccm wanatumia malori na kugawa vijisenti na flana pamoja na kanga.acha fikra mgandisho badilika,tunahitaji viongozi bora wenye mtazamo na taswira nzuri ya inchi hii.
hao clouds hawana lolote hv unamshauri mtu ajiajiri wakati hawana kitu.wale ni wazushi hawana lolote hata fursa ziwe mia moja bila mtaji ni kumuumiza mtu kichwa.
Ccm hawana chao kimebaki ni chama kama cha kifalme yani kama baba ni kiongozi mkubwa pale basi atataka mkewe,watoto wake,wajukuu,vitukuu,vilembwe ili mradi waendelee kuiba hii inchi.msahau chadema ni chama cha kikombozi,mtu mnafiki kamwe hawezi achwa akitaka kuharibu chama kwa maslahi ya tumbo...
utofauti wa zitto na martin luther.
1.zitto ni mnafiki wakati martin luther alikuwa msema ukweli na mtekelezaji.
2.zito ni mpenda madaraka wakati martin luther alikuwa hana mawazo ya upuuzi kama huo alichojua yeye ni kutete haki.
3.zitto ni mchumia tumbo wakati martin luther alikuwa anataka watu...
tusikalili chama ila ni bora tuangalie nani ataweza kuongoza hii inchi kwa moyo wake wote.na kihusu wizi hivi ni nani ambaye anaweza kushika kitengo flani bila kuchukua kitu au sababu hujapata mwanya huo,mi nafikiri kama lowasa akipata urais atataka awaprove wrong watanzania kwa kuwaonyesha...
hivi mbona mmekuwa mkitengeneza maneno yenu wakati rais kikwete amshatoa maelezo mazuri tu.mi nafikiri ben ameeleze vizuri sana kuhusu hili.unafiki ni kitu kibaya sana na ndivyo vinavyowasumbua mseveni,kenyata na kagame.
kujitoa hukua sahihi ilibidi upigane mpaka mwisho ili uliondoe hl tatizo,mi nafikiri we si mpiganaji bali ww ni mmoja kati ya wale wanaotaka madaraka na kutaka kufaidika kupitia chama,ila kwa ushauri anzisha chama chako halafu kiite malaika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.