Mwanamke akishaingia jamii forum tu anatofaut na wengi sana maana wanawake wengi wanapenda kuuza sura siyo maneno.huku hakuna kuuza sura.kwenye kufahamu huyu ni mwanamke mbona simple sa unakuta mtu kaanzisha uzi natafuta mume kunachakujiulizahapo?pia uandishi unaweza kukuonesha
Kuna utapeli wa mtandao unaambiwa jiunge na group la malovelove tuma ela uungwe sasa!!!ukiwa na bahati ukaungwa mtajikuta mnachat wanaume tupu hamna hata demu hii nishatapeliwa hata sidanganyi.na mtoto mkali umemuona insta au fb popote pale mtandaon anakwambia ntumie nauli nije hii kila siku...
Ila inakuPa uhuru wa kujiexpress nakutoa mambO yanayokera mOyon ukizingatia hakunasehemu utatoa dukuduku lako kama jf.unauhakika gan anafamilia au hajatimiza majukumu yake?ungekuwa na busara ungekaa kimya maana na ww hukute hata familia yk huijali.sa sijui huku kwenye social media unafata nn?
Nlitaka kujua mfano silaha za kuwindia kama crossbow na air gun kama airriffle je hizi kumiliki inakuaje ?kama air gun ni bunduki za kuwindia wanyama wadogo kama sungura na ndege.na zinatumia pressure ya upepo. je hizi nazo kumiliki tz ni sawa au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.