lukinga01
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 414
- 381
4 angekaa Tulia hapo hapo, 3 lingekaa lispika libovu lilikula mabilion yetu kwa mafundi wa India, 2 lingekaa lipiga debe la huko Dar es Salaam mnaliita Makondakta, na 1 likae hilo dudu jeusi lenye roho mbaya linaloishi jirani na bahari ya hindi mnaloliita Ulevi.