Fika nyumbani ujue tatizo ukisha kijua then utaamu kuoa na kuacha sio njia ya kumaliza matatizo inawezekana ukaoa then yakaja kujirudia yale ya zamani yaliofanya mke wa kwanza akukimbie
Huu ni aina nyingine ya wivu wa kike! Ukielewa nachosema utajua kwa nini nasema ivi? Huwezi kua na fikra mbovu kama hizi kwa kukarabati ofisi hakuna kijana anaeweza kukaa kwenye ofisi chafu. Wazee wengi hawawezi tengeneza sehemu wanayofanyia kazi kwa kua tu wanajua hawana mda mrefu kuzifanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.