Lini somalia imetangazwa kama nchi ya kislam acha uzushi wew , na unalopoka tu , hayaniambie makamu Wa raisi Tanzania naye vipi au tz ni nchi ya kislam pia ? Wekilaza kweli
Kweli nimeamini Tanzania in watu ambao hawaja elimika kabisa na hawawezi kujenga hoja , jalibuni basi hata kupitia katiba muone inasemaje kuhusu dini , kama hamjui kusoma semeni
Una mawazo mazuri lakini kwa wajinga wenzako , mbona kuna watu tunaona wamevaa rozali lakini hawaingiliwi wala hawa semewi chochote ? Kweli magufuli anaongoza vilaza aendelee tu kuwabuluza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.