Recent content by suluti

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nikitaka kwenda Woodberry Cafe, iliyopo Haile road Masaki, kwa daladala nashukia kitu kipi?

    Lukumburu,igawisenga,lilondo,madaba,mkongotema,lutukira,gumbiro,Mtyangimbole,likarangiro,mlilayoyo,while ya tanga,mshangano,msamala,bombambili,mfaranyaki,lizaboni,ruhuwiko,namanditi,likuyufusi,peramiho,
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sauli Luxury Bus njia ya Mbeya naona ndio mfalme mpya Newforce hoi

    Newforce ipi? Hawa wenye bus zaidi ya 20 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwa madereva tulioripoti TAMISEMI Dodoma

    Kama kuna yoyote aliyepigiwa simu, kwenda kuanza kazi anijuze maana naona wapo kimya, Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    JamiiForums Tanzania Haitokuja kutokea Kampuni safi ya usafirishaji abiria Tanzania kama Scandinavian Express

    Okala nasikia anaendesha malori siku hizi mtafute facebook utampata kwa jina la Khalid lupembe
  5. S

    JamiiForums Tanzania Haitokuja kutokea Kampuni safi ya usafirishaji abiria Tanzania kama Scandinavian Express

    Okalla baadae alikuja Scandinavia
  6. S

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Uzito utakua mkubwa sana sijui kama watatoboa mizani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mji gani mzuri kati ya Lindi na Singida?

    Lindi ni pa hovyo Sana
  8. S

    JamiiForums Tanzania GWAJIMA ATEKETEA

    Kitu chochote kikikaribia lens ya camera kitaonekana kikubwa
  9. S

    JamiiForums Tanzania Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

    Huyo ni Gwajima live
  10. S

    JamiiForums Tanzania Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Wakati huo nasoma songea boys nilipanda kiswele TZJ 4989 tulifika songea saa kumi na moja na nusu, kile kipande cha kutoka Njombe kwenda songea kwenye zile kona bus inalala balaa abiria wote kimya, dereva alikua Anaitwa Yayaha miaka ile bus Zilikua zinatembea Sana Sent using Jamii Forums...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Burudani ndani ya mabasi ya mikoani.

    Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom