Wakati mwingine pata muangaza kupitia maswali uliyo nayo,. Ukisha Gambia felia suruhisho mi lepesi
Fanya uamuzi kwenye kama ulicho Fanya wakati wa kumuaproach make hukumshirikisha MTU.trust your self you can
Mhh hiini kali kiukweli walio wengi naomba zao hawazipati nasio kuwa hawazitaki hakuna raia aliye poteza MDA wae kujiandikisha na kuhangaika juani alaf aka kataa kitambulisho chake na haliyakua ajua Faida na umuhim wake, kwanza fatilia taraibu zinazo tumika kuwafikishia wanachi NAMBA ZAO KABLA...
Kila kitu kinacho tokea katika maisha Yako nisehem ya mafundisho hivyo yahitaji utafakari Kwa kina ili sikunyingine USI jichanganye natumai misingi ya hekima unaifahamu ndugu
Hapa kinacho takiwa kuzingatiwa ni kwamba katika maisha Kuna mamboma 2 yanafanana ila ni tofauti sana
1. Kuna mapenzi
2. Kuna urafiki
Unaweza kuwa na mpenzi ila asiwe rafikiako pia
Mama anaweza kuwa rafikiako katika maisha ukiachana na upendo wa nafasi yake kama mama.na pia upo uwezekano...
Mwenyezimungu atuepushie fikra potofu juu ya kile kinacho dhaniwa ni haki kumbe ni batwili ILIYO pitiliza ifike hatua Imani zirejee nyoyoni mwetu, kuliko kuwa fanya wazungu kama macrietor wa duni yupo yule aliye juu yao.
Kula ugali sio tatizo tatizo nipale tunapo hitaji kuwaiga wazungu Kwa Kila wanacho kifanya katika maisha Yao ,na sisi waafrika tunazo akili nyingi tu nasio wajinga ila tu dhana mbovu tulizo jijengea akilini mwetu kuwa hiki hatuwezi ilihali tunaweza pale tunapo amua, wale wazungu pamoja na kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.