Recent content by SuleWiz

  1. SuleWiz

    Naombeni ushauri katika hili

    Mimi Huwa sipendi sana kujibu thread za watu, ila hii yako imenibidi niijibu, Yaani Umeniudhi sana, sasa yote hayo hadi umeyaandika bado unaganda kutaka ushauri, ATAKUUA huyo mwanamke, Asepe zake na wewe chukua Hamsini zako, Kama ni kweli isije ikawa tunapoteza nguvu kujibu hadithi za Shigongo.
  2. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    Kweli kabisa. Ipo siku utapata mwenza wa ukweli. As long as unajitambua, then unastahili. Have faith..
  3. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    Pole sana mkuu. Mungu yupo na anaona. Malipo ni hapa hapa duniani. Mungu atakusimamia iwe directly or indirectly. Kuwa na imani.
  4. SuleWiz

    Nafasi za kazi ya Mhudumu wa Grocery na Manager

    Husika na kichwa cha habar hapo juu. Kuna nafasi za kazi katka grocery mpya maeneo ya sinza. malipo mazuri na ni makubaliano. Kizuri zaid kuna chumba cha kupanga ready kwa wahudumu. Tafadhal wasiliana na Msimamizi direct kwa namba 0719 44 72 04, kuanza kazi maramoja.
  5. SuleWiz

    Nafasi ya Kazi ya Cashier na Manager wa Grocery

    Husika na kichwa cha habar hapo juu. Kuna nafasi za kazi katka grocery mpya maeneo ya sinza. malipo mazuri na ni makubaliano. Kizuri zaid kuna chumba cha kupanga ready kwa wahudumu. Tafadhal wasiliana na Msimamiz direct kwa namba 0719 44 72 04. kuanza kazi maramoja.
  6. SuleWiz

    Nauza Pikipiki

    Mm nna laki 5 cash. kama haitakuumiza tufanye biashara.
  7. SuleWiz

    DELL OPTIPLEX 755 Computer Desktop inauzwa

    Ni towwer au? Niuzie cp kwa 120k
  8. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    Mwanaume mkuu, kwema lkn?!!!
  9. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    Itakuwa vizuri, though tuna vyo chat hivi ina leta maana zaidi.
  10. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    DSM jiji lenye Changamoto....
  11. SuleWiz

    Something From Nothing

    mmh, changamoto
  12. SuleWiz

    Ni kweli fisi ana jinsia mbili?

    huyo atakuwa fisi wa kichawi
  13. SuleWiz

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Mmmh, Ngoja kwanza
  14. SuleWiz

    Iam so lonely and depressed, please chat with me

    Habari za leo. Katika maisha nimejifunza mengi baada ya kukutana na mengi, imefikia point naishia kusema "ninge" well hayo yameshapita na hope kuto walk thru those paths tena. Haya sasa I know Im not the only one, perhaps hata wewe yame kukuta ya kuwa heart broken, kupuuzwa, kushindwa kutimiza...
Back
Top Bottom