Recent content by sukariyawarembo

  1. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Mteja na Waranti

    Huu uzi bora ningepeleka jukwaa la mahusiano na mapenzi huko na kuna watu wengi wanaview.huku amna kitu
  2. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Mteja na Waranti

    Za mda huu wakuu. Nimepata changamoto hapa kazini kuna duka tunauza magodoro na mimi nimekuja hapa sio mda mrefu mana ni la familia,sasa changamoto ni kuhusu wateja kununua godoro baada ya muda wanakuja wanasema wanataka kurudisha eti kisa linabonyea sana katikati,sasa nachotaka kujua na...
  3. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    sawa mkuu
  4. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    ndio,ameshakaa
  5. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    asante mkuu
  6. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    naipata wapi hii mkuu
  7. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    sawa kiongozi ,ndo mana dogo Hana mwili kabisa ni mwembamba sana eti tunajifariji tunasema amefuata mwili wangu, clinic akienda anaongezeka grams tu sio kilo
  8. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    shukurani boss
  9. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    uji wa kuchuja ndo ukoje
  10. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    ko asubiri au aanze
  11. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    Wakuu za wakati huu, Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa ananyonya tena hadi mama yake amekonda [emoji19](maziwa anayo ya kutosha). Sasa tunajiuliza...
  12. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    siingii JF hadi ijumaa kwa herini afu huyu @medicin niliandaa essay ya matusi kumtumia kule PM lakini amshukuru shetani wake kamwambia aifunge PM yake la sivyo angejinyonga,analeta tabia zakina jems delishaz apa
  13. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    mchai chai,chemsha pamoja na mizizi yake,,kunywa kutwa mara tatu
  14. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Najutia sana kumpoteza huyu mwanamke

    hapo umelishwa libwata,,njoo dm nikupe mbinu za kuondoa libwata,unafanya siku moja tu vifungo alivyokufunga vinafunguka. malipo ni baada ya mafanikio
  15. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

    yumwema fata huu ushauri utakuja kushukuru badae,,ukiparamia mahusiano haraka haraka utaangukia pabaya zaidi.
Back
Top Bottom