Recent content by sukariyawarembo

  1. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    sawa mkuu
  2. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    ndio,ameshakaa
  3. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    asante mkuu
  4. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    naipata wapi hii mkuu
  5. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    sawa kiongozi ,ndo mana dogo Hana mwili kabisa ni mwembamba sana eti tunajifariji tunasema amefuata mwili wangu, clinic akienda anaongezeka grams tu sio kilo
  6. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    shukurani boss
  7. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    uji wa kuchuja ndo ukoje
  8. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    ko asubiri au aanze
  9. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    Wakuu za wakati huu, Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa ananyonya tena hadi mama yake amekonda [emoji19](maziwa anayo ya kutosha). Sasa tunajiuliza...
  10. sukariyawarembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    siingii JF hadi ijumaa kwa herini afu huyu @medicin niliandaa essay ya matusi kumtumia kule PM lakini amshukuru shetani wake kamwambia aifunge PM yake la sivyo angejinyonga,analeta tabia zakina jems delishaz apa
  11. sukariyawarembo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    mchai chai,chemsha pamoja na mizizi yake,,kunywa kutwa mara tatu
  12. sukariyawarembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najutia sana kumpoteza huyu mwanamke

    hapo umelishwa libwata,,njoo dm nikupe mbinu za kuondoa libwata,unafanya siku moja tu vifungo alivyokufunga vinafunguka. malipo ni baada ya mafanikio
  13. sukariyawarembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

    yumwema fata huu ushauri utakuja kushukuru badae,,ukiparamia mahusiano haraka haraka utaangukia pabaya zaidi.
  14. sukariyawarembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina maumbile ya Siri makubwa, msichana nikitembea nae huwa harudi

    Wewe
  15. sukariyawarembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina maumbile ya Siri makubwa, msichana nikitembea nae huwa harudi

    Wakuu,,mimi nna maumbile makubwa sana ya siri kiasi kwamba msichana nikitembea nae huwa harudii na naachwa kila uchwao. Hii kitu inaniondolea raha maishani. Nilikuwa na girl friend wangu tulidumu miaka mitatu huyo ndo alivumilia kwa mda mrefu sana ikafika kipindi tukaachana saiv huwa...
Back
Top Bottom