sawa kiongozi
,ndo mana dogo Hana mwili kabisa ni mwembamba sana eti tunajifariji tunasema amefuata mwili wangu, clinic akienda anaongezeka grams tu sio kilo
Wakuu za wakati huu,
Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa ananyonya tena hadi mama yake amekonda [emoji19](maziwa anayo ya kutosha).
Sasa tunajiuliza...
siingii JF hadi ijumaa kwa herini
afu huyu @medicin niliandaa essay ya matusi kumtumia kule PM lakini amshukuru shetani wake kamwambia aifunge PM yake la sivyo angejinyonga,analeta tabia zakina jems delishaz apa
Wakuu,,mimi nna maumbile makubwa sana ya siri kiasi kwamba msichana nikitembea nae huwa harudii na naachwa kila uchwao.
Hii kitu inaniondolea raha maishani.
Nilikuwa na girl friend wangu tulidumu miaka mitatu huyo ndo alivumilia kwa mda mrefu sana ikafika kipindi tukaachana saiv huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.