ccm wasipende kuwabuluza wananchi vile wanavyotaka wao,kwanza mungano una mapungufu mengi sana yawezekana wao wananufaika sana na huo mungano wa serikali mbili,mfano kuonyesha huu muungano ni kisanii ni hakuna hata raisi mmoja aliyewahi kufanya ziara ya kukagua maendeleo zanzibar,kama kuna mtu...
kwanza kawapotosha watanzania kuwa serikali tatu sio maoni ya watanzania bali ni kikundi cha watu wachache kilichoidhinisha serikali tatu,hapo hanma mwandishi wa habari,kwanza ameidhalilisha tasinia ya uandishi wa habari.
Nawapongeza chadema kwa kuwa imara na hao wasaliti wa chama hasa zito kabwe anataka mahakama ibebe ili aonekane yeye anauchungu na chama.wakati lengo lake ni kutaka kuvuruga chama magamba wakiwa nyuma yake kamwe hira zake zimeshindwa,cdm itazidi kusonga mbele viva chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.