Recent content by Sugar dady

  1. Sugar dady

    Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

    Pia ney wa mitego anafanya sana hizo,mwezi mmoja ulopita kwenye huo huo uwanja alofanya shoo mavoko ney pia alifanya shoo na alijaza sana watu,maporoni kuna hela nyingi sana wasanii wanakuja kuzichukua kimyakimya,wanahabari wanakosea sana kuwavunja moyo wasanii wetu
  2. Sugar dady

    Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

    Saaana,kiingilio kilikuwa elfu mbili,na hakuna cha fungulia dog,mpaka shoo iliisha watu wanalipa elfu mbili hadi watoto,watu zaidi ya 5 au 6000 waliingia,sasa hapo mavoko atakosa milioni 1 ?lazima amepata,maana walikuwa wachache tu,hakuna maandalizi ya stage wala nini,ni uwanjani,matangazo ni...
  3. Sugar dady

    Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

    kabisa yani,watu wamekalili mpaka mastage makubwa,wanasuburi mpaka waitwe fiesta ama wasafi ndo wapate hela ila watu huku wanaenda chaka kwa chaka kuzisaka hela
  4. Sugar dady

    Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

    Ilikuwa ni shoo ya msanii wa kisukuma hiyo,Anaitws KISIMA NYANDA MAJABALA,sasa,TINY WHITE,RICH WAVOKO NA MKOJANI ndo walikuwa wanasindikiza,pia mavoko aliimba kidogo tu,msimponde sana,lazima amepiga hela pale,shoo za migodini zina hela nyingi mno yani sema watu hawajui tu
  5. Sugar dady

    Video: Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini

    Kwenye hii shoo watu walikuwa wengi sana na hawezi kukosa laki8 hivi au Milioni 1,maana watu walikuwa zaidi ya elfu6,walikuwa watu wengi sana,sema ni machimboni,hapo ni mwakitolyo shinganya..
  6. Sugar dady

    Wanasiasa wanaweza vipi kuendesha wanajeshi? Swali makini

    ndiyo,ndo sheria ya Tanzania jeshini hiyo,ukiamrishwa hauruhusiwi kuhoji
  7. Sugar dady

    Wanasiasa wanaweza vipi kuendesha wanajeshi? Swali makini

    Ni katiba tu,imeeleza kila kitu,Mwanajeshi ni wa kufuata Amri tu kilingana na mgawanyo wa madaraka,ni nzuri tu wala hakuna ubaya
  8. Sugar dady

    "Sote watatu ni wapenzi na tunalala kitanda kimoja"

    Kwasababu huyo mwanamke mwenzie ni mpenzi wake,alomtafuta yeye,yaani,mwanamke kamili hakutafutwa na mwanaume,bali alitafutwa na huyo mwanamke na nusu
  9. Sugar dady

    Kurejea kwa Bdozen kwenye kipindi cha XXL cha Clouds Fm kunaenda kurejesha mvuto wa kipindi hicho

    Kitu ambacho wengi hamjui ni lini XXL ilipoteza mvuto,ni baada ya Clouds kugombana na WASAFI,hapo ndo watu wengi waliikatia tamaa XXL ,kwahiyo basi,itakuwa ngumu sana kukirejesha kwenye chart hicho kipindi..
  10. Sugar dady

    Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

    wasukuma wanakiwasha na wana shoot video kali sana sikuhizi..
  11. Sugar dady

    Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

    Huyo sikuhizi amechuja sana
  12. Sugar dady

    Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

    Kabisa,wingi ni mtaji,machimbo pia ni soko kubwa sana,ukizingatia wanaopenda kwenda migodini wengi ni wasukuma
  13. Sugar dady

    Zijue kauli zilizoligawa taifa na Watanzania wanaishi nazo

    Tokomea kabisa mwenda zake,nenda mazima usirudi,ulilitesa sana Taifa letu tukufu,uliifanya Nchi hii kuwa kama Mali yako binafsi,uliumiza watu na wafanyabiashara..Sote tutakufa ila Mungu fundi alikutanguliza mbele za haki ili Taifa libaki salama,Asante Mama Samia kwa kutokufuata mwenendo wa yule...
  14. Sugar dady

    Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

    Sekta ya muziki wa kisukuma ni kubwa na pana kuliko watu wanavyoichukulia,kuna wasanii zaidi ya 50 wakali wote,na wanajaza shoo sana,hii secta imebeba ajira nyingi sana.Msanii mmoja anaweza akawa na crew ya watu zadi ya 25 hadi 30,kiingilio cha shoo zao ni buku tu ila wanajaza watu zaidi ya...
  15. Sugar dady

    Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

    Elizabeth maliganya
Back
Top Bottom