Recent content by Sugamadex

  1. S

    Tonsils dawa yake ni nini?

    Dawa zozote kwa issue ya Tonsils inaweza saidia tu kama hazijafikia kiasi/kiwango kikubwa zaidi kuhitaji kuondolewa kutumia upasuaji. Nenda hospitali uonane na madaktari bingwa wa Masikio,Pua na Koo(ENT SURGEON) kwa ushauri wa kitaalamu zaidi ili uweze patiwa tiba sahihi/stahiki. NB 1.Kutumia...
  2. S

    Tuliowahi kuwa vikojozi tukutane hapa tufarijiane...

    Mzima mkuu, can you imagine that!?
  3. S

    Tuliowahi kuwa vikojozi tukutane hapa tufarijiane...

    Hii kitu iacheni tu,ugenini hulali,wengine vilipotea baada ya kushuhudia wenzetu kadhaa kufungiwa vyura viunoni, watoto mtaa mzima mnaitwa kuimba wimbo pendwa enzi hizo,"KIKOJOZI HILOO,NA NGUO TUZICHOME MOTO HILOO" kama nakumbuka sawasawa,hapo godoro mtu kabebeshwa kichwani,tumbo wazi na chura...
  4. S

    Ni wapi nitampata specialist wa magonjwa ya ngozi?

    Sipo Dar na pia hakuna specialist ninayemfahamu personally, ila ninachokifahamu ni kuwa ukienda hospitali yoyote ile angalau ya kuanzia ngazi ya wilaya unaweza kupata dermatologist, pia private hospital kubwa nyingi zina dermatologists, kikubwa achana na dispensaries. Nadhani utapata unaweza...
  5. S

    Ni wapi nitampata specialist wa magonjwa ya ngozi?

    Pole, ila nadhani ingekuwa rahisi na busara zaidi kama pia ungesema uko wapi, sabu yeyote yule aliyeko kwenye hii dunia anaweza soma, ila ninaamini ni wachache sana watakuwa na uwezo wa kutabiri ulipo ili pengine wakutajie hao maspecialists wa magonjwa ya ngozi walio karibu nawe. Sent using...
  6. S

    Mambo 15 ya kuzingatia kwa kijana katika kuanzisha biashara

    Great points for sure,ahsante. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Baadhi ya swali ya kujiuliza ilikugundua ukweli wa asili yako

    Inafikirisha, ngoja nimshikie mtu nafasi yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Ni kwanini taifa la Marekani halijawahi kuanzisha au kuwa na bifu na taifa la Uingereza kulitishia

    Naona kwake shangazi siyo Mtanzania kama vile Mmarekani asivyokuwa Muingereza, kwahiyo bakora kwa shangazi sawa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Ni kwanini taifa la Marekani halijawahi kuanzisha au kuwa na bifu na taifa la Uingereza kulitishia

    Aisee, kama vile "MASHANGAZI" wasivyokuwa "WATANZANIA" hivyo kustahili kupigwa bakora au!? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    Ukweli juu ya hoja ya baadhi ya Waafrika ndio Waisraeli halisi

    Dondosha PDF yake mkuu ili tujaribu kuperuzi fresh zaidi.
  11. S

    USHAURI: Maumivu ya kifua upande wa kulia (Chest side pain)

    Naona kuna wadau juu wamekupa ushauri na info zaidi especially Njunwa Wamavoko, hivyo basi kwa muonekano wa ECG yako ingawa in reality haiko standard pamoja na history uliyoongezea ninaweza kuwa haya, DIAGNOSIS 1)Myocardial Infarction(MI) -Hii ungeweza kuiconfirm au rule out simply with...
  12. S

    USHAURI: Maumivu ya kifua upande wa kulia (Chest side pain)

    Pole mkuu Jiggy El Jefe. Sijajua mara ya mwisho ulipifanya ECHO na ECG ulipewa dawa gani exactly kwa jina. Ila kwa jinsi unavyoyaelezea maumivu unayoyapata inafanana na kitu kinaitwa ANGINA PECTORIS, ingawa mara nyingi maumivu huwa upande wa kushoto ila kwa baadhi ya watu inaweza kuwa upande wa...
  13. S

    Lissu: Serikali ya Magufuli wanahusika na jaribio la mauaji dhidi yangu. Sooner or later, ukweli utajulikana

    Kwenye huo huo uti wa mgongo ikitokea una shida inayohitaji upasuaji wa mguu kwa mfano, huwa wanachoma sindano humohumo kwenye uti wa mgongo kusababisha ganzi bila kudhuru mishipa ya fahamu, cha muhimu kujua wapi uchome, mgonjwa huwa macho na kuzungumza bila shida yoyote, point ni kwamba risasi...
  14. S

    Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

    Uliyesema amerithi kazi Njemba anafanya kazi zipi sasa kama bado mnasema "Njemba angekuwepo.....!!!?"
  15. S

    King Tutankhamun; Roho ya Farao (Mummy) iliyowamaliza watu kwa laana yake kali.

    Aisee, "All of the facial features were painted in black and lips were reddened", halafu tena "His skin was darkened and his nose was flattened by the bandages". Yaani wote huo ni ubishi tu kujaribu kuonesha kuwa labda rangi nyeusi waliyojichorea ilikuwa bahati mbaya maybe, na hizo bandages...
Back
Top Bottom