Recent content by successiful dreamer

  1. successiful dreamer

    Watumishi hawatuhamishi sisi wa mtaani

    MwalimuMpwayungu punguza hasira kwa walimu wenzio
  2. successiful dreamer

    Je, una herufi M katika kiganja cha mkono wako?

    Wasio na hiyo herufi wanazidiwa nini na wenye herufi hiyo?
  3. successiful dreamer

    Toba iletayo majibu

    Ubarikiwe sana mtumishi. Neno hili likawe chachu ya mabadiliko ya walio wengi katika kumjua Mungu.
  4. successiful dreamer

    Walimu ni kundi la wanafiki, waoga na wasengenyaji kuliko kada yoyote Ile

    Mwalimu Mpwayungu acha kuwasumbukia walimu wenzako hawawezi kubadilika. Ona hata wewe ulivyoshindwa kuacha tabia ya kufatilia maisha ya watu wengine. Wewe cha kufanya piga mishe zako ukiwa free mda wa kupiga kazi jipake chaki kisawasawa. Hizo tabia zenu za kufatiliana hamtoziacha. Kingine...
  5. successiful dreamer

    Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

    Mwalimu Mpwayungu sioni sababu ya wewe kuteseka na walimu wenzako acha kila mmoja ashinde mechi zake.
  6. successiful dreamer

    Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

    Huyo mwanao asipofundishwa vizuri atakua daktari? Acheni kujipa umuhimu uliopitiliza kwa kuwaona wenzenu hawafai.
  7. successiful dreamer

    Mchakato wa ajira za ualimu uangaliwe upya ili kuleta tija na ubora wa elimu

    Mwalimu Mpwayungu acha kuwaponda walimu wenzako au kisa hukupata ajira mwaka huu?
  8. successiful dreamer

    Ombi langu kwa wizara ya Elimu : Futeni topic ya "human Evolution" katika somo la history kwani ni uongo wakuchanganya vichwa vya wanafunzi

    Binadamu hakuwa nyani na hatokua nyani. Theory ya Evolution of man inaelezea kuwa jamii ya PRIMATES ilijumuisha species za gorillas, monkeys, chimpanzees and man himself. Binadamu aliishi mazingira waliyoishi nyani, sokwe, tumbling, ngedele na jamii kama hizo. Kilichokuja kumtofautisha na jamii...
  9. successiful dreamer

    Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Unaadhibu dhambi kwa kufanya dhambi? Omba rehema kwa Mungu unafanya dhambi ya uasherati kwa kisingizio cha kuletewa mtoto wa nje. Hapo kwa haraka umetenda dhambi ya chuki Kwa mtoto na baba yake, umelipa kisasi na bado unazini na bado una hasira. Tubu Mungu ni mwenye rehema usishupaze shingo bado...
  10. successiful dreamer

    Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Mme wako anajua kua umekuja kuumiza wanaume humu? Kama una lengo la kuumiza wanaume ambao siyo huyo Mume wako utakua hujafanya Jambo lolote la maana.
  11. successiful dreamer

    Kufanya ngono na kila mwamke anaekatiza mbele yako sio ujanja ni kujitafutia mikosi

    Kweli hilo hata mimi nimeshalipitia Hali si nzuri sana baada ya kujichanganya Kwa wanawake tofauti. Mwanamke wa mwisho aliniambia ana jini mahaba lililokua linammiliki na akasema yupo kwa mganga kutibiwa. Mwanamke Yule alijariwa sura na umbo matata lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano...
  12. successiful dreamer

    Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

    Kuwa mtu wa Ibada. Mpende Mungu na umtafute Kwa bidii na Kwa akili yako yote. Ifike mahala kabla hujaamua kufanya huo mchezo upate majuto moyoni na si majuto yaje baada ya kumaliza. Unachoshindwa kuelewa ni kwamba kujiamini huanzia akilini, ni kweli unajiona mkosaji lakini tambua kukosea...
  13. successiful dreamer

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Miongoni mwa story niliyoipenda zaidi mwaka huu ni hii
Back
Top Bottom