jamani naombeni mnisaidie kwa hili : nlikua nmechaguliwa tumaini dar(law) bt nkaomba transfer tcu nikawa nmehamishiwa UDOM(law) lakini tatizo ni kwamba nnapojaribu kudownload form zao inaandkia "password and user name dont match or you dont hav an account yet".. sio kwamba nakosea taratibu NO...
sjaelewa case yako iko vp bt kwangu binafs nlikuwa nmechaguliwa tumaini Dar (Law) bt cost dizain kama zkawazinanishinda ndo nikaandka barua tcu kuomba kuhama bt ilikuwa kabla ya loan board kutoa majna yao(sielewi kwako vipi). na loan board walipotoa majna skuliona jina langu tumaini (nilitaka...
kama umeweza kuingia jamiiF then umeshndwa kuingia web ya tcu nahisi unamatatizo! majina yametoka siku 2 baada ya loan board kutoa yao ! muwe mnafatilia sio kla kitu kutafuniwa ! me mwenywe nmehamia udom na mzigo wangu (booom) upo huko! fungua site yao then click selected applicants 4 2012/2013...
Hubert Kailuki memorial university ni chuo namba mbili kwa ubora nyuma ya udsm kwa miaka 4 mfululizo sasa na pia mwaka 2001 chenyewe na UDSM viliingia ktk orodha ya vyuo 100 bora Africa,,na NI chuo bora tanzania kwa upande wa medicine kikifuatiwa na Muhimbili.MWENYE UELEWA NA HILI ATANIUNGA...
wadau nlikua naomba msaada wa mawazo kuhusu kuhama chuo! nmechaguliwa tumaini dar(law) bt mwenzenu mimi ni mtoto wa mkulima siwez kumudu tution fee ya 2.5 Miln. chuo nahtaji kwenda bt ugumu ndo huo, Naombeni msaada wenu wadau kama inawezekana kuhamia chuo kingine. natanguliza shukurani za dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.