Recent content by stxr

  1. S

    Dkt. Slaa: Mabomba ya gesi toka Mtwara yanaelekea Ulaya!

    Uwo ni uzushi na kutokuwa na taarifa sahihi kwa huyo Slaa. Kama ingekuwa kuelekezwa ulaya kusingekuwa na haja ya mabomba kwa sababu mtwara kuna bandari ambapo zingekuja meli zenye facilities za ku-compress na kubeba gesi. Kwa hili nadhani kapotoka.
  2. S

    Sighs of relief as Dar cuts toll on Rwandan trucks

    Tatizo hapa wanaangalia figure lakini kiukweli per km Tz wapo chini. Mpakani hadi Dar ni zaidi ya km 1200 hivyo kwa $500 wanyarwanda walikuwa wanalipa $0.42/km na wakati kutoka mpakani hadi Kigali ni takribani km 150 hivyo hata kwa $152 watz wanalipa $0.98/km
  3. S

    Askari Polisi wa kituo cha Oysterbay mbaroni kwa ujambazi

    wafanyabiashara wanagombea ubunge kufanya biashara na ufisadi majambazi wanajiunga upolisi kufanikisha ujambazi wao
  4. S

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    Kwani umeambiwa anatembelea Tanzania nzima isipokuwa Zanzibar?
  5. S

    Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    Kutoka kwa mdau Stamp ya Malawi ya mwaka 1945 Ramani ya Nyasaland (Malawi) ya mwaka 1935 iliyopatikana kwenye Colonial reports za Uingereza
  6. S

    Mwakyembe: Marufuku abiria Kuchimba dawa njiani

    Siyo kula matoke ama kichuri tu. Nchi yetu ni kubwa na sasa anategemea mtu asafiri zaidi masaa manne bila kujisaidia? Alichotakiwa ni kuweka points za kujisaidia kati ya vituo vikubwa alafu ndiyo apige marufuku. Awa viongozi wanakurupuka kufuraisha watu tu.
  7. S

    Dr. Mkumbo aula UDSM

    Mtu kateuliwa mnasema kaula. Akila rushwa au kuiba mnalalamika. Ataulaje bila kuiba ama kula rushwa? Nadhani ilitakiwa kumuonea huruma kwani kuna matatizo mengi (siyo changamoto) anayoenda kupambana nayo.
  8. S

    Rtd General Mboma, Mhando wa TANESCO na Mh. Mbunge - ni Hatari!!

    Kuunda tume ya nini nawakati umeisha muhukumu mtu na umeishatoa way forward?
Back
Top Bottom