Recent content by Stunt

  1. Stunt

    Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

    Kujua tu kwamba Pac kauwawa na his fellow Black men....ndo kinachouma zaidi
  2. Stunt

    Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

    Ndo mana nilisema pale juu, "wazazi wake wanamjua na kumpenda mtoto wao vizuri zaidi ya mtu yoyote yule" sometimes tunakurupuka ku judge familia za watu kimakosa... Mtoto mwenye nia ya kufanya biashara utaona jitihada zake mapema tu, kisha msaada unakuwa ni kum boost tu... Wengi wanaosema...
  3. Stunt

    Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

    Wazazi wake wanamfahamu na wanampenda mtoto wao vizuri zaidi kuliko wewe uliyekutana naye ukubwani...! That's it
  4. Stunt

    Tinted za kimarekani kwenye gari tunazipenda lakini zinahitaji uvumilivu tu kwakweli

    Juzikati nlishawishika kuweka hii American tinted na kuitoa ya zamani, doooh! Ni balaa, ilivyofika usiku sio taabu tu, ni balaa na hatari sana, Nimelazimika kukata sehemu za Side mirrors ili niweze kuona vyema nyuma, maana kusema ukweli ikifika usiku uoni unakuwa hafifu mnoooo na kwa barabara...
  5. Stunt

    Mbezi Mwisho palivyonitoa ushamba

    Pole aisee, lakini pia, ungeweza baada ya kuvuka daraja la kwanza namkuikuta round about, ungefuata uelekeo wa njia inayokuja tokea barabara kubwa, lakini kabla hujaifikia round about kubwa ya zamani ungeona barabara inayoshuka upande wa kushoto ambayo inaenda kupita chini ya daraja (la barabara...
  6. Stunt

    Mbezi Mwisho palivyonitoa ushamba

    Hahahaaaaaaaaaa, daaaah, umenichekesha sana aisee, Anyway ndo njia yangu everyday, na nimebahatika kushuhudia mabadiliko yooooote yanavyotokea, ila kuna siku nilijisemea Hizi njia kama mtu hajapita loooong time lazima aipate fresh ! Pole aisee
  7. Stunt

    Anti-Social wenzangu tujuane tabia zetu

    Utakuwa pia umezaliwa May, Mwezi wa kazi!
  8. Stunt

    Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

    Kwani zinazozalishwa na Dangote, Twiga zote zinapelekwa wapi?
  9. Stunt

    Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

    Baadhi ya maeneo/mikoa hawako fast ktk kufanyia kazi miongozo mipya, Wengi walishaanza kutumia hivyo vyeti
  10. Stunt

    Kuhusu Cheti cha Kuzaliwa

    Karibu miaka m4 au mi5 sasa vyeti vya kuzaliwa vinatolewa dizaini hii, na vinakubaliwa kote
  11. Stunt

    Mnaoenda na magari kulewa huwa mnarudi nayo vipi nyumbani?

    Kuna "kunywa" na "kulewa"! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Stunt

    Maduka ya Vodacom kuwa wazi kwa masaa 24 kuanzia tarehe 20

    Ishu ya kusajili laini zenye majina tofauti, ati hadi upate kiapo toka mahakamani! That's totally awkward! Na kwanini mitandao mingine hawaku stress huo upuuzi! Voda tu ndo wamekomalia ile mbaya, Kusema kweli yawezekana hiyo kitu imefanya walio wengi wakazitupa kando laini tata kama hizo na...
  13. Stunt

    Nguvu za kiume zimekua tatizo

    Elimisha zaidi hapa mkuu!
  14. Stunt

    Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

    Dah! Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Stunt

    Crossroads: Ex wa mke wangu wanaendelea kuwa karibu na wife hadi sasa

    Talk to her plain truth of what you have discovered, if she's not willing to give up on the guy, or you notice she's not telling you the truth, Jus let her go!, imho Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom