igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 953
- 1,472
Huyu alinyang'anya girlfriend wa jamaa na kulazimisha mapenzi sasa anavuna alichopanda. ....(na bado ) in Bambo voiceNashindwa ku comment kabisa...Yaani huu ni uboya wa hali ya juu...Yaani umedhibitisha mkeo anagegedwa kwa 100% lakini bado unataka ushauri, kweli?? Huyo mwanamke amesharudisha moyo kwa jamaa yake ndiyo maana hata simu yake anaicha free na hajali kabisa.....Kinachofuata ni kwamba atakutesa mpaka milele....na unasema jamaa anayekuibia anapata support toka kwa mama mkwe...huwezi kumkatalia kwenda likizo kwa ambako kimsingi anampelekea jamaa papuchi...............yHapo huna lako ndugu achana naye
Kwa kichina wanasema KARMA IS THE BITCH.
Sent using Jamii Forums mobile app