sina sababu za kitaalamu zaidi, ila ninachojua hakukua na haja ya Tra na Bandari kuwa na systems tofauti.Bakhresa anakosa lazima ahakikishe mzigo unaotoka umefuata taratibu zote,wapigaji hutoa makontena usiku.maafisa wa Tra na Bandar walioko zamu wakiwa majumban.
cku kabla ya hiyo alifanya mikutano 7.nashangaa sn ushabiki unavyotutoa akili. Tuanze na la ugonjwa. unaweza fanya safari za wiki 2 mfululizo kw ss tunaoitwa wazima? mim nikisafiri toka Mwanza to Dar nalala siku inayofuata tena nakuw mchovu.huyu anae ongea kila siku inakuaje?? kuhusu kulala...
wiz kid ndio msanii mbabe kimuziki afrika: nyimbo kali ila video za kawaida ilaa hapati tuzo..sababu tuzo za siku hizi hutolewa na vituo vya televishen hivyo hujikita kwenye videos na si uzuri wa nyimbo na mashairi.ojuelegba!!!!!!!!! napia ni msanii anayefanya kazi na mastaa wakubwa na nyimbo...
VYANZO VIKUBWA VYA UMEME DUNIANI NI MAPOROMOKO YA MAJI: Na TANZANIA TUNA MAPOROMOKO HAYO MAKUBWA YA MAJI NA HATUJAWAHI KUWEKA MASHINE KWA KUHOFIA GHARAMA KUZIDI UWEZO WA NCHI,MAPOROMOKO YANATOSHA PEKEE KUZALISHA UMEME WA NDANI NA NNJE KIBIASHARA.BONDE LA MTO RUFIJI NA KAGERA.
Bonde hili maana...
Lowassa na wengineo wanajua hesabu vizur ashaona matokeo kw macho yake anasubiri ushindi wa karatas.pia magufur nae kaona,wote wamezunguka. sis tutatetea vyama vyetu ila wao wanaujua ukweli na nani ni pump kuliko mwingine, wanajua wapi hawakubaliki na wapi wanakubalika wanahesabu kali sio km za...
siasa zimeharibu timing xa wanamuziki bila kujua wanaingiza kidogo na kupoteza kikubwa Jst imagine Lowassa akishika nchi kw wanaomtukana hadharan na kufanya kampen against itakuaje??
kawaida yetu tupo kama kuku tunasahau tulipotoka kabisa, mradi wa treni ya kasi mbwembwe picha za mikataba ikisainiwa.kigamboni project,Tazara ubungo flyover.
na hatufikirii kabisa mirad mingi husainiw kwny kampeni, sasa hivi ndio mawe ya msingi huwekwa na ahadi kem kem.kwenye kila nyanja this...
wk end imeanza na wigi!!!
😁😁😁😁😁😁😁😁
nisicheke sn nikiulizwa nacheka nn nitashindwa elezea milio ya fuso.
kiukweli,ajar ya ndege si kama za magar na sidhan km watakua hai tena,zinaruka juu sana na zikianguka mara nyingi huripuka.kuhusu huduma ya kwnza sio wote wenye taaluma hizo nchini,na zinahitaj vifaa vya kisasa mfano kukata mabati na nk.ccm isilaumiwe kwny hili ile ni ajali na ukweli mnaujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.